Mbona Ponda na Baadhi ya Masheikh Hujawaweka humo maana Bora Tundu Lissu kuliko mikutano ya Hawa jamaa
Akili yako imetekwa na huyu mtu.Hawa ndio intelligent hawa
Hawa ndio intelligent hawa
@Kijakazi wa II,
..nadhani hujafuatilia mikutano na makongamano ya uamsho na kamati ya maridhiano kule Zanzibar.
..yaani likitajwa jina la Mwalimu Nyerere, basi umati unajibu kwa sauti "laanatul". wakimaanisha "aliyelaaniwa."
..hata huku Tanganyika kuna segment kubwa tu ya wananchi ambao wanaamini kwamba Mwalimu Nyerere aliwadhulumu haki zao kutokana na kutofautiana naye kiimani.
..ukiacha hao ambao wanamsema vibaya Mwalimu Nyerere, wapo wale ambao wanamtukana kwa matendo yao kwa jinsi wanavyokiuka maadili na miiko aliyoiacha Mwalimu Nyerere.
..UFISADI unaofanywa na CCM siyo matusi kwa Mwalimu Nyerere?
..UBINAFSI unaoendelezwa na CCM siyo matusi kwa Mwalimu Nyerere?
..hao unaodai wako tayari kumhami Mwalimu Nyerere ni kina nani hao? Je, ni hawa waliokosa utu na kumumunyoa misingi yote aliyoiacha Mwalimu Nyerere?
..Hivi kweli kwa maoni yako unadhani Tundu Lissu amemdhalilisha Mwalimu, kuzidi hawa viongozi wa CCM walioua azimio la Arusha na kujilimbikizia mali kifisadi, huku wakiwaacha wananchi kwenye ujinga, umasikini, na maradhi?
cc Mkandara, Mchambuzi, gombesugu, Kasheshe, Mag3
Lissu anataka apewe nchi...hio ndio tatizo tutampa nchi mtu anayetukana baba yetu wa taifa.
Kumbe kuna wasaa unakuwa kamili tu.....tuko pamoja kwenye hili , ila la mbili na tatu mimi niko tatu ...siju. WeweHivi mtu kueleza ukweli wa tabia za Nyerere, unakuwa siyo Intelligent.
Majanga.
Watu waajabu sana mbona Yesu kristo alifanya maajabu na miujiza mingi lakni kuna watu wanampinga mpaka leo? Sio vibaya kuhoji uwezo wa nyerere yeye hakua mungu ndo mana wanasaikolojia wakizungu waliotuponda kwenye vitabu vyao sisi tumewapinga so nyerere hakufanya mazuri tu alifanya makosa either kutokana na hakukua na multiparty system wakajisahau au kwa utashi wake
Tatizo ni Kwamba Dunia haiko hivyo unavyodhani wewe, ndio maana nikakupa Mfano wa Marekani hao Maraisi waanzilishi kama akina Lincoln na Washington wengine walikuwa wanamiliki Watumwa ingawaje ni JAMBO BAYA lkn ni MWIKO kuwaongelea vibaya hao jamaa waliopita hata iweje na kila Mwanasiasa kama anajitaka basi huwa anatafuta tu mazuri waliyoyafanya na mabaya kuyaacha, vivyo hivyo kwa Mlm.Nyerere hapa kwetu nafasi yake tayari ipo na ameshakufa hivyo kumuongelea vibaya kama Mwanasiasa hata kama uko sahihi kwa Kiasi gani (kumbuka Dunia haiko fair) hakutakufikisha mbali, hauwezi kugeuza Maoni ya Watz leo hii dhidi ya Mlm.Nyerere hata ufanye nini bila kukugharimu na haijalishi utakuwa uko sawa kwa kiasi gani yeye (Bw.Lisu) alipaswa kulifahamu hilo...
Kuna mambo mengine haupaswi kuyasema hata kama unafikiri uko sahihi, ni hivyo tu na kwa bahati mbaya Dunia ndivyo ilivyo aliyekutangulia, amekutangualia na Mlm.Nyerere tayari ameshaweka Mark yake TZ na kuiondoa ni kazi kubwa...Bw.Tundu alipaswa kufahamu hilo!
Hivi mtu kueleza ukweli wa tabia za Nyerere, unakuwa siyo Intelligent.
Majanga.