100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,626
- 12,057
Hezbollah ilianzishwa rasmi mnamo mwaka 1985 huku lengo kuu ikiwa ni kulinda ardhi ya Lebanon dhidi ya utawala wa Israel kuivamia Lebanon.
Hezbollah ina askari ambao ni muslims, shia, sunni na wakristo.
Hezbollah wapo vizuri hasa katika kuilinda Lebanon dhidi ya uvamizi kama ilivyotokea First Lebanon War na Hezbollah wakafanikiwa kuzuia jeshi la Israel kuivamia Lebanon.
Hezbollah wanafanya kazi kama Professional Military ambao ni organized structured na sio kikundi cha kienyeji kama wanamgambo au kama wale wachunga mbuzi wa Afghanistan kama wengi wanavyofikiri.
Kama nilivyosema Hezbollah wanafanya kazi kama professional military kama majeshi mengine, wana vitengo(army branches) katika.
Infantry
Armor
Artillery
Air Defense
Intelligence
Ordnance
Supply & Transport
Signal
nakadhalika.........
Tofauti kabisa na makundi mengine kama watu wanavyofikiri hasa humu jf, hawa jamaa wanafundishwa mafunzo maalumu na nidhamu, pia wana special forces command ambao ni sawa na kama iivyo Israeli Shin Beth, US Navy SEALS au British SAS.
Kama unafuatilia ukisoma battle moja iliitwa Binte Jbiel, askari 5000 wa Israel wakiwa na support ya anga walishindwa kuteka kijiji kilichokuwa kinalindwa na askari wa Hezbollah 150 tu, ilifikia kipindi wale IDF wakaanza kuwaita wale askari wa Hezbollah kwamba ni mizuka(ghosts), kwa maana walikuwa wanashambuliwa pasipo kufahamu kwa usahihi ni uelekeo upi hayo mashambulizi yanatokea.
Katika battle hilo sio kwamba tu walifanikiwa kulinda hiko kijiji dhidi ya uvamizi lakini pia walisababisha hasara kubwa katika jeshi la Israel, na sababu pekee ambayo ilipelekea Hezbollah wasipate madhara makubwa ni kwa sababu Israel walikuwa wakirusha makombora hovyo.
Hezbollah wana mafunzo kama vile :
Close Quarter Battle
Ninaposema close quarter combat ni ile kunakuwa na mashambulizi/mapigano baina ya makundi mawili inaweza kuwa jeshi dhidi ya jeshi lingine, askari dhidi ya makundi ya kihalifu n.k, aina hii ya mapigano mara nyingi inakuwa ndani ya mita 100, na kinachotumika ni bunduki na vifaa vingine, mfano kama SWAT mara nyingi unaona wanavamia nyumba na kuingia ile tunasema ni Close Quarter Battle.
Guerrilla Warfare.
Hii ni aina ya vita/mapigano baina ya kikundi flani ambacho yaweza kuwa wananchi wenye silaha, waasi n.k wakipambana na jeshi, police n.k, mara nyingi aina hii ya mapigano inahusisha aina mbali mbali za mashambulizi kama ambush, kushambulia na kukimbia, utekaji, uvamizi na mbinu zingine mbali mbali.
Lengo kubwa la aina hii ya mapigano ni kukwepa makabiliano ya ana kwa ana dhidi ya maadui, hii ni kutokana na kuwa na silaha duni, jeshi dogo au sababu zingine. Au kwa ufupi ni uncoventional warfare unaweza kusoma zaidi mtandaoni, aina hii ya mashambulizi inatumika hata na Navy Seals.
Sabotage.
Hii ni ile vita unashambulia miundo mbinu au silaha za adui ili kumdhoofisha, mfano jeshi dogo la askari wenye mafunzo ya hali ya juu (special forces) wanakwenda kushambulia na kulipua daraja ili adui asipitishe silaha na askari, hio ni sabotage, au kushambulia pipeline ya mafuta adui asipate mafuta ili adhoofike, kuna mifano mingi.
Espionage
Huuni ujasusi, kwenda kuchukua taarifa kutoka kwa adui na kuzitumia kwa ajili ya manufaa yako ili kunufaika zaidi, au kumdhoofisha adui, aina hii ya ujasusi inafanyika hata katika makampuni yenye ushindani kibiashara, hii inahusisha kuiba taarifa muhimu.
Inahusisha kwenda jeshi la adui kuchunguza aina ya silaha alizo nazo, nguvu aliyo nayo n.k.
Covert Operations
Hii ni undercover operation, ni ile kwenda kufanya tukio pasipo adui kufahamu nani amefanya shambulizi, inaweza kuwa mauaji, utekaji n.k hizi ni aina ya mission ambazo zinapangwa kwa ustadi na usiri mkubwa sana, akili nyingi inatakiwa, mfano mauaji ya Mohsen Fakhrizadeh yule mwanasayansi wa atomiki nchini Iran, ile ni mfano wa covert opertaion.
Intelligence Gather
ni ukusanyaji wa taarifa za maadui, hapa kuna mbinu mbali mbali hutumika za upelelezi kama vile kupiga picha, kuhoji n.k mfano US au Russia wanapotumia satellite ku monitor movement za maadui ile tunasema ni intelligence gathering. Au unarusha drones ndogo na kuanza kupiga picha kambi za adui.
Counter Terrorism.
kitengo maalumu dhidi ya kupambana na ugaidi, kwa kifupi ni anti-terrorism, hii sina haja sana ya kuelezea.
Kuwa katika kitengo hiki unapewa mafunzo yote yanayohusu kupambana na ugaidi, unawafahamu magaidi kuanzia wanavyofikiri n.k. Mfano Herzbollah walisaidia pakubwa kupambana na ISIS nchini Syria.
Hayo ni baadhi ya mafunzo siwezi list yote nilikua naelezea kwa ufupi tu.
Hezbollah inasemekana wana vitengo kama vitatu vya kiintelejensia, taarifa zaidi kuhusu intelligence yao haifahamiki zaidi kutokana na kuwa na usiri mkubwa.
Wana SIGNT(Signal Intelligence), wana CVTDIV (Covert Division) na CI (Counter Intelligence), wale majasusi wa Jf nadhani wamenielewa, signal intelligence kwa ufupi ni ile kuingilia mawasiliano ya watu au vifaa vya ki electronic, unakuwa unaskikiliza na kupata taarifa za adui.
Counter Intelligence ni ile unajizuia dhidi ya adui yako kupata taarifa zako, kama tulivyosoma hapo juu kuna espionage kwa maana kuwa unakuwa unaishi na jasusi akichukua taarifa zako pasipo wewe kufahamu, sasa counter intelligence division ni kitengo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na masuala ya kijasusi
Kutokana na reports mbali mbali Hezbollah walishafanikiwa kuingiza watu wao katika jeshi la IDF, na pia walishafanikiwa kuingilia mawasiliano ya jeshi la Israel kutoka vitengo vya juu kabisa.
Kwa sababu nimchoka kuandika naomba nihitimishe kama ifuatavyo.
Hezbollah ni jeshi lenye nguvu, Hezbollah sio tena kama walivyodanganywa watu kwamba ni Guerrila Unit, wana intelejensia ya hali ya juu na air support wanayo, hivyo Hezbollah ni jeshi kama yalivyo majeshi mengine, watu wengi humu wanafikiri ni kikundi cha wachunga mbuzi milimani kule Afghan. ukisikia Israel inasema Hezbollah akiingia kuisadia Hamas na yeye anaita washirika jua kuna kitu.
Ukitizama kuanzia wanavyovaa, wapo full gear kama IDF walivyo.
Watu waache ushabiki wa hear say, wawe wanasoma, media hazina double standards.
nipo hapa kutoa elimu kuna wajinga wataleta uislamu na ukristo, Hezbollah kuna askari wa kikristo wengi, sio kundi la kidini, bali wazalendo kwa ajili ya kuipigania Lebanon.
Askari wa Hezbollah.
Askari wa Hezbollah.
Soma pia.
Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)
Hezbollah ina askari ambao ni muslims, shia, sunni na wakristo.
Hezbollah wapo vizuri hasa katika kuilinda Lebanon dhidi ya uvamizi kama ilivyotokea First Lebanon War na Hezbollah wakafanikiwa kuzuia jeshi la Israel kuivamia Lebanon.
Hezbollah wanafanya kazi kama Professional Military ambao ni organized structured na sio kikundi cha kienyeji kama wanamgambo au kama wale wachunga mbuzi wa Afghanistan kama wengi wanavyofikiri.
Kama nilivyosema Hezbollah wanafanya kazi kama professional military kama majeshi mengine, wana vitengo(army branches) katika.
Infantry
Armor
Artillery
Air Defense
Intelligence
Ordnance
Supply & Transport
Signal
nakadhalika.........
Tofauti kabisa na makundi mengine kama watu wanavyofikiri hasa humu jf, hawa jamaa wanafundishwa mafunzo maalumu na nidhamu, pia wana special forces command ambao ni sawa na kama iivyo Israeli Shin Beth, US Navy SEALS au British SAS.
Kama unafuatilia ukisoma battle moja iliitwa Binte Jbiel, askari 5000 wa Israel wakiwa na support ya anga walishindwa kuteka kijiji kilichokuwa kinalindwa na askari wa Hezbollah 150 tu, ilifikia kipindi wale IDF wakaanza kuwaita wale askari wa Hezbollah kwamba ni mizuka(ghosts), kwa maana walikuwa wanashambuliwa pasipo kufahamu kwa usahihi ni uelekeo upi hayo mashambulizi yanatokea.
Katika battle hilo sio kwamba tu walifanikiwa kulinda hiko kijiji dhidi ya uvamizi lakini pia walisababisha hasara kubwa katika jeshi la Israel, na sababu pekee ambayo ilipelekea Hezbollah wasipate madhara makubwa ni kwa sababu Israel walikuwa wakirusha makombora hovyo.
Hezbollah wana mafunzo kama vile :
Close Quarter Battle
Ninaposema close quarter combat ni ile kunakuwa na mashambulizi/mapigano baina ya makundi mawili inaweza kuwa jeshi dhidi ya jeshi lingine, askari dhidi ya makundi ya kihalifu n.k, aina hii ya mapigano mara nyingi inakuwa ndani ya mita 100, na kinachotumika ni bunduki na vifaa vingine, mfano kama SWAT mara nyingi unaona wanavamia nyumba na kuingia ile tunasema ni Close Quarter Battle.
Guerrilla Warfare.
Hii ni aina ya vita/mapigano baina ya kikundi flani ambacho yaweza kuwa wananchi wenye silaha, waasi n.k wakipambana na jeshi, police n.k, mara nyingi aina hii ya mapigano inahusisha aina mbali mbali za mashambulizi kama ambush, kushambulia na kukimbia, utekaji, uvamizi na mbinu zingine mbali mbali.
Lengo kubwa la aina hii ya mapigano ni kukwepa makabiliano ya ana kwa ana dhidi ya maadui, hii ni kutokana na kuwa na silaha duni, jeshi dogo au sababu zingine. Au kwa ufupi ni uncoventional warfare unaweza kusoma zaidi mtandaoni, aina hii ya mashambulizi inatumika hata na Navy Seals.
Sabotage.
Hii ni ile vita unashambulia miundo mbinu au silaha za adui ili kumdhoofisha, mfano jeshi dogo la askari wenye mafunzo ya hali ya juu (special forces) wanakwenda kushambulia na kulipua daraja ili adui asipitishe silaha na askari, hio ni sabotage, au kushambulia pipeline ya mafuta adui asipate mafuta ili adhoofike, kuna mifano mingi.
Espionage
Huuni ujasusi, kwenda kuchukua taarifa kutoka kwa adui na kuzitumia kwa ajili ya manufaa yako ili kunufaika zaidi, au kumdhoofisha adui, aina hii ya ujasusi inafanyika hata katika makampuni yenye ushindani kibiashara, hii inahusisha kuiba taarifa muhimu.
Inahusisha kwenda jeshi la adui kuchunguza aina ya silaha alizo nazo, nguvu aliyo nayo n.k.
Covert Operations
Hii ni undercover operation, ni ile kwenda kufanya tukio pasipo adui kufahamu nani amefanya shambulizi, inaweza kuwa mauaji, utekaji n.k hizi ni aina ya mission ambazo zinapangwa kwa ustadi na usiri mkubwa sana, akili nyingi inatakiwa, mfano mauaji ya Mohsen Fakhrizadeh yule mwanasayansi wa atomiki nchini Iran, ile ni mfano wa covert opertaion.
Intelligence Gather
ni ukusanyaji wa taarifa za maadui, hapa kuna mbinu mbali mbali hutumika za upelelezi kama vile kupiga picha, kuhoji n.k mfano US au Russia wanapotumia satellite ku monitor movement za maadui ile tunasema ni intelligence gathering. Au unarusha drones ndogo na kuanza kupiga picha kambi za adui.
Counter Terrorism.
kitengo maalumu dhidi ya kupambana na ugaidi, kwa kifupi ni anti-terrorism, hii sina haja sana ya kuelezea.
Kuwa katika kitengo hiki unapewa mafunzo yote yanayohusu kupambana na ugaidi, unawafahamu magaidi kuanzia wanavyofikiri n.k. Mfano Herzbollah walisaidia pakubwa kupambana na ISIS nchini Syria.
Hayo ni baadhi ya mafunzo siwezi list yote nilikua naelezea kwa ufupi tu.
Hezbollah inasemekana wana vitengo kama vitatu vya kiintelejensia, taarifa zaidi kuhusu intelligence yao haifahamiki zaidi kutokana na kuwa na usiri mkubwa.
Wana SIGNT(Signal Intelligence), wana CVTDIV (Covert Division) na CI (Counter Intelligence), wale majasusi wa Jf nadhani wamenielewa, signal intelligence kwa ufupi ni ile kuingilia mawasiliano ya watu au vifaa vya ki electronic, unakuwa unaskikiliza na kupata taarifa za adui.
Counter Intelligence ni ile unajizuia dhidi ya adui yako kupata taarifa zako, kama tulivyosoma hapo juu kuna espionage kwa maana kuwa unakuwa unaishi na jasusi akichukua taarifa zako pasipo wewe kufahamu, sasa counter intelligence division ni kitengo maalumu kwa ajili ya kukabiliana na masuala ya kijasusi
Kutokana na reports mbali mbali Hezbollah walishafanikiwa kuingiza watu wao katika jeshi la IDF, na pia walishafanikiwa kuingilia mawasiliano ya jeshi la Israel kutoka vitengo vya juu kabisa.
Kwa sababu nimchoka kuandika naomba nihitimishe kama ifuatavyo.
Hezbollah ni jeshi lenye nguvu, Hezbollah sio tena kama walivyodanganywa watu kwamba ni Guerrila Unit, wana intelejensia ya hali ya juu na air support wanayo, hivyo Hezbollah ni jeshi kama yalivyo majeshi mengine, watu wengi humu wanafikiri ni kikundi cha wachunga mbuzi milimani kule Afghan. ukisikia Israel inasema Hezbollah akiingia kuisadia Hamas na yeye anaita washirika jua kuna kitu.
Ukitizama kuanzia wanavyovaa, wapo full gear kama IDF walivyo.
Watu waache ushabiki wa hear say, wawe wanasoma, media hazina double standards.
nipo hapa kutoa elimu kuna wajinga wataleta uislamu na ukristo, Hezbollah kuna askari wa kikristo wengi, sio kundi la kidini, bali wazalendo kwa ajili ya kuipigania Lebanon.
Askari wa Hezbollah.
Askari wa Hezbollah.
Soma pia.
Ni jinsi gani Hezbollah iliweza kushinda vita dhidi ya Israel? (2006)