Mkuu hiyo ya duara,hapo kwenye rangi ya blue kuna selection yaani handler ya kuzunguusha. Kama ni wakati wa baridi kali nawe unataka joto unazunguusha mpaka kwenye red basi ndani kuna kuwa na joto. Mkuu siku hizi magari yanakuja new model kila kukicha huna budi kuuliza hasa kama halina menu yake.
AC haiwezi kufanya kazi bila ya feni hivyo unatakiwa uwashe kwanza feni ndipo uwashe AC. Kwa kuangalia kwa haraka haraka nadhani button hiyo ya kuzungusha ndio button ya feni halafu button ya AC ni hiyo iliyochorwa nyota ambayo inamaanisha ubaridi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.