Butiku amshukia mwenezi CCM: 'Ziara ya hovyo', Agusia sakata la CHADEMA

Butiku amshukia mwenezi CCM: 'Ziara ya hovyo', Agusia sakata la CHADEMA

Takribani karne mbili zilizopita, Thomas Jefferson alisema jambo moja la maana sana: “In matters of style, swim with the current; in matters of principle, stand like a rock.

Katika masuala ya msingi, Mzee Butiku anapaswa kuwa kama mwamba (usiotikisika). Asimame consistently upande wa haki, just like Mzee Warioba. Hilo linawezekana!
 
Kwenye hicho kikao akiwemo huyu mzee, warioba, ulimwengu, je wewe mwana jf utahudhuria? Au nani mwingine awepo ili nawe uwepo?
 
Tatizo ni kuuma na kupuliza. Utasemaje yote hayo halafu hapo hapo unasema "mimi siisemi serikali" wakati wanaotenda yote hayo unayolalamika ni serikali?

Watu kama hawa wanakwama hapo na kama taifa tunashindwa kusonga mbele kwa tabia hizi za undumilakuwili.
 
Anatema shit huyo dogo kwenye hizo ziara. Watu wote wanajua ccm wameingia madarakani kwa kinajisi uchaguzi, yeye bado anaendelea na siasa za hadaa. Unatembea kuhutubia watu upuuzi bila kuhojiwa wakati ww ndio muhalifu, na unadhani uko sahihi! So outfated politics.
 
Hapa Bujiku kasema kweli watu wako msibani, Mkiti wako bado anahangaika kujisafisha wewe unazunguka mitaani kuongea nini utaongea nini, no ziara ya kijinga.
Ni mmoja? Hata Mwingulu mbona anafanya hivyo hivyo. Na mbaya zaidi wanaongea mambo ya kijinga, ya kuzidi kukasirisha wananchi.
 
Ile siku alipowachapa watu wazima viboko Arusha ilitakiwa kuwa red alert lakini wapi? hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.
 
Back
Top Bottom