Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 682
- 1,375
Alafu wazee wengi wa zamani ndio zilikua itikadi zao. Hata kama tajiri, anakwambia mali ni zake, wewe ukuwe utafute vyako hana mpango na wewe. Ingekua mambo haya ya sasa nadhani mbaka kina edward nyerere wangekua mawaziri sahiviKatika Jambo ambalo Nyerere alikosea ni Kuruhusu mambo ya kipuuzi kama haya pia Yatokee kwa watoto zake lakini pia Hakufanya jitihada za wazi kuwainua watoto zake kabisaa.. leo hii mtoto wa mwinyi anakuwa Rais wa nyerere hata Ubunge anakosaa...!! Legacy ya Urais aliondoka nayo mwenyewe watoto zake hawakufaidika hata kiodgo na potential ya baba yao mpaka Inafikia kipindi Lectures wanamdico mtoto wa Rais Nasema wangetafuta kazi ya Kufanyaa maza fakazzz tena sio tanzania idiots kabisaa... uprofesa ushuzi huko huko kwao.