Sio tu akiwa hai bali akiwa Rais wa nchi
Kuna Mkuu wa Shule alimpiga barua ya kumwita Mzazi mtoto wa Nyerere, alipofuatwa kuulizwa akajibu nimemuita Julius Nyerere Mzazi wa Mwanafunzi sio Rais
Huyo ni Mama Siwale alikuja kupata Uwaziri wa Elimu
Baadae nae akaja kutumbuliwa kwa kosa la kupeleka Uwaziri chumbani akiwa na Mumewe
The rest is history
Kuna Mkuu wa Shule alimpiga barua ya kumwita Mzazi mtoto wa Nyerere, alipofuatwa kuulizwa akajibu nimemuita Julius Nyerere Mzazi wa Mwanafunzi sio Rais
Huyo ni Mama Siwale alikuja kupata Uwaziri wa Elimu
Baadae nae akaja kutumbuliwa kwa kosa la kupeleka Uwaziri chumbani akiwa na Mumewe
The rest is history
yaani walimdisco mtoto wa mwalimu na mwalimu akiwa hai!? kweli enzi hizo watu walikua wamepinda.. R.I.P ROSE