Buriani Rosemary Kambarage Nyerere

Ni kweli kabisa Rosemary Nyerere baada ya discontinuation ya medicine pale Muhimbili baade alikwenda kusoma IDM Mzumbe na ali - graduate May 1989 with Advance Diploma in Professional Accountancy (ADPA) with honor akiwa "Ameua" - amepiga A's course zote. July 1989 Alipangiwa kazi kama Assistant Lecturer pale IFM (now a days IFM University) na kuanza kufundisha course za Accountancy mwaka wa kwanza na na wa pili.

Nakumbuka alikuwa rafiki na mcheshi na mtu wa kujichanganya kwa wote na hata wanafunzi wake. Pale IFM (kule nyuma ya jengo) siku hizo kulikuwa na mgahawa unaendeshwa na serikali ya Wanafunzi (almaarufu kama "MUWATA") ulikuwa ukiuza supu, chips kuku, mishakaki, bia, soda. Nakumbuka pale ilikuwa ni kijiwe alichokuwa akikipenda sana ambapo utamkuta akifurahi baada ya classes zake akipiga bia yake na sigara yake mkononi. Kwa hakika bado namuona akiwa kwenye tabasamu yake, upole na ustaarabu wake na sauti yake nyororo.

Nakumbuka alikuwa ni dada mmoja aliyekuwa akishughulishwa zaidi na mambo yake mwenyewe na ya watu aliyatazama tu na kuyaacha kama yalivyo. Na pia namkumbuka siku hizo kama mdada aliyekuwa akipenda kujichanganya kwenye vijiwe vya wanaume zaidi kuliko wanawake wenzie.

Bwana akutangulie katika safari yako.

RIP Rosemary Nyerere.
Alidisco 1982 na akamaliza Advanced Diploma Mzumbe 1989!Miaka saba? Kwamba alikuwa anapiga vyombo Kama Bro Mako halafu na Mifeg! Kumbe alikuwa dada wa mineli.Bila shaka kwenye pochi ungekuta nali.RIP dada Rose.
 
Namkumbuka Rosemary Nyerere. Alipenda uhuru wake na kuvaa anachotaka, including zile pensi fupi sana za jeans. Na sigara yake aliipenda sana. Na ulabu. Na kujichanganya na masela.
Sikuwahi kusikia wala kumwona mtu yeyote akitajwa kama boyfriend wake. Hakushobokea kabisa hizo vitu.
Alikuwa na Boy friend baadae akawa baba mtoto wake. MR. JAMES MWAIPOPO.
 
Lakini lecturers walikuwa na roho mbaya sana....unachukua cream of the cream iliyomaliza form six na baadaye unafyeka nusu nzima. Intake ilikuwa na 50 na wanamaliza 24 .... Kipindi hicho nchi ilikuwa na idada ya karimu na milioni 20 na chuo kinatoa 24 graduates of medicine. So sad.

..nimeona kwamba intake ya 1982 waliingia wanafunzi 50 lakini walio-graduate ni 24.

..hapo maana yake ni kwamba zaidi ya nusu ya wanafunzi walioanza masomo hawakufanikiwa kumaliza.

..kwa maoni yangu, hapo kuna failure rate kubwa ambayo waalimu wa Muhimbili walipaswa kujiuliza sababu yake ni nini.

..Je, tatizo ni wanafunzi? Au tatizo ni course work na wahadhiri? Tungekuwa kwenye nchi za wenzetu lazima watu wangedai majibu ya maswali hayo.

..Wakati UDSM wanataka kuanzisha Faculty of Engineering walitafuta ushauri toka kwa timu iliyoongozwa na Prof wa Kirusi. Suala moja waliloliangalia lilikuwa ni either course iwe ya miaka 3 au 4, na iliamuliwa iwe miaka 4 ili kuepuka wanafunzi wengi kushindwa masomo. Nadhani walijifunza kutoka Nairobi University ambako walipata tatizo hilo, au UDSM walianza na course ya miaka 3.

..La mwisho, kama wanafunzi wengi wanafeli na kuacha masomo, je wale wanaoendelea na kuhitimu ufaulu wao ni wa kiwango gani?
 
siyo kwamba Rosemery Nyerere alidisco hivihivi bali figisu zilitaka kufanyika ili aendelee lakini nakumbuka kuna Lecturer mmoja toka Jamaica alisimama kidedea mpaka Rosemery aling`oka, nakumbuka kama alikamatwa masomo mawili
Sasa hivi kuna mtoto wa mkuu mmoja anaitwa Jesca M

 
..nimeona kwamba intake ya 1982 waliingia wanafunzi 50 lakini walio-graduate ni 24.

..hapo maana yake ni kwamba zaidi ya nusu ya wanafunzi walioanza masomo hawakufanikiwa kumaliza.

..kwa maoni yangu, hapo kuna failure rate kubwa ambayo waalimu wa Muhimbili walipaswa kujiuliza sababu yake ni nini.

..Je, tatizo ni wanafunzi? Au tatizo ni course work na wahadhiri? Tungekuwa kwenye nchi za wenzetu lazima watu wangedai majibu ya maswali hayo.

..Wakati UDSM wanataka kuanzisha Faculty of Engineering walitafuta ushauri toka kwa timu iliyoongozwa na Prof wa Kirusi. Suala moja waliloliangalia lilikuwa ni either course iwe ya miaka 3 au 4, na iliamuliwa iwe miaka 4 ili kuepuka wanafunzi wengi kushindwa masomo. Nadhani walijifunza kutoka Nairobi University ambako walipata tatizo hilo, au UDSM walianza na course ya miaka 3.

..La mwisho, kama wanafunzi wengi wanafeli na kuacha masomo, je wale wanaoendelea na kuhitimu ufaulu wao ni wa kiwango gani?

Kozi ya udaktari ilikuwa inachukua zaidi ya miaka minne. Sidhani ya 1982 ilikuwa ya miaka mitatu. Masomo ya high school kama yanaendeshwa vizuri, yanatosha sana kumpa nafasi ya kusoma engineering kwa miaka 3. Kuna baadhi ya watanzania waliojiunga na vyuo vikuu vya UK na kumaliza degree zao katika kipindi cha miaka mitatu. Miaka minne nadhani ilitumika kutoa exposure kwa mwanafunzi na vilevile kurudia fundamentals.

Kwa maoni yangu, wanafunzi wa Tanzania wangeweza kusoma kama wanafunzi wa UK. Kama kuongeza basi mwaka mmoja wa remedial ungetosha. Lakini hapo hapo ukumbuke, kulikuwa na mwaka mmoja wa jeshi. Na kuna kipindi mtu alitakiwa kwenda jeshini na baada kufanya kazi kwa miaka miwili kabla ya kwenda University.

Kuhusu Nairobi University sina taarifa zao ilikuwaje. Lakini na wao walibadili mfumo wa elimu na kufuta high school. Waliingia kwenye 8 ya primary-4 ya Secondary - 4 ya University.

Tukirudi kwenye Universities zetu, hao wanafunzi wali-fail kama wangesoma Marekani, wengeendelea vizuri sana. Mfumo wetu wa elimu una watu wenye roho mbaya tu. Sidhani maprofesa wetu wa miaka ya 1980 walikuwa mabingwa kuliko maprofesa wa second tier universities hapa Marekani....
 
Sio tu akiwa hai bali akiwa Rais wa nchi

Kuna Mkuu wa Shule alimpiga barua ya kumwita Mzazi mtoto wa Nyerere…alipofuatwa kuulizwa akajibu nimemuita Julius Nyerere Mzazi wa Mwanafunzi sio Rais

Huyo ni Mama Siwale alikuja kupata Uwaziri wa Elimu


Baadae nae akaja kutumbuliwa kwa kosa la kupeleka Uwaziri chumbani akiwa na Mumewe

The rest is history
Duuu
 
Kozi ya udaktari ilikuwa inachukua zaidi ya miaka minne. Sidhani ya 1982 ilikuwa ya miaka mitatu. Masomo ya high school kama yanaendeshwa vizuri, yanatosha sana kumpa nafasi ya kusoma engineering kwa miaka 3. Kuna baadhi ya watanzania waliojiunga na vyuo vikuu vya UK na kumaliza degree zao katika kipindi cha miaka mitatu. Miaka minne nadhani ilitumika kutoa exposure kwa mwanafunzi na vilevile kurudia fundamentals.

Kwa maoni yangu, wanafunzi wa Tanzania wangeweza kusoma kama wanafunzi wa UK. Kama kuongeza basi mwaka mmoja wa remedial ungetosha. Lakini hapo hapo ukumbuke, kulikuwa na mwaka mmoja wa jeshi. Na kuna kipindi mtu alitakiwa kwenda jeshini na baada kufanya kazi kwa miaka miwili kabla ya kwenda University.

Kuhusu Nairobi University sina taarifa zao ilikuwaje. Lakini na wao walibadili mfumo wa elimu na kufuta high school. Waliingia kwenye 8 ya primary-4 ya Secondary - 4 ya University.

Tukirudi kwenye Universities zetu, hao wanafunzi wali-fail kama wangesoma Marekani, wengeendelea vizuri sana. Mfumo wetu wa elimu una watu wenye roho mbaya tu. Sidhani maprofesa wetu wa miaka ya 1980 walikuwa mabingwa kuliko maprofesa wa second tier universities hapa Marekani....

..asante kwa mchango wako.

..suala la miaka 3 vs 4 nilikuwa nazungumzia kuhusu Faculty of Engineering of Udsm.

..kabla ya kuanzisha kitivo hicho, walitafuta wataalam wa kuwashauri, na urefu wa muda wa masomo ni moja ya kipengele kilichojadiliwa.

..Nadhani timu hiyo ya wataalamu iliangalia Nairobi Univ na ikakuta wanafunzi wanafeli sana na kozi yao ni ya miaka 3, hivyo wakashauri kozi ya Engineering mlimani iwe ya miaka 4.

..ni kweli kama unavyosema wako waTz waliokwenda kusoma Eng Uingereza miaka ya 70 na walimaliza ndani ya miaka 3.
 
..asante kwa mchango wako.

..suala la miaka 3 vs 4 nilikuwa nazungumzia kuhusu Faculty of Engineering of Udsm.

..kabla ya kuanzisha kitivo hicho, walitafuta wataalam wa kuwashauri, na urefu wa muda wa masomo ni moja ya kipengele kilichojadiliwa.

..Nadhani timu hiyo ya wataalamu iliangalia Nairobi Univ na ikakuta wanafunzi wanafeli sana na kozi yao ni ya miaka 3, hivyo wakashauri kozi ya Engineering mlimani iwe ya miaka 4.

..ni kweli kama unavyosema wako waTz waliokwenda kusoma Eng Uingereza miaka ya 70 na walimaliza ndani ya miaka 3.

Nadhani walichofanya faculty of engineering kilikuwa kitu kizuri sana. Kwa sababu failure sio tatizo la mwanafunzi pekee yake. Sijuhi kuna mtu ambaye anajua failure rate ya miaka ya sasa.
 
Kozi ya udaktari ilikuwa inachukua zaidi ya miaka minne. Sidhani ya 1982 ilikuwa ya miaka mitatu. Masomo ya high school kama yanaendeshwa vizuri, yanatosha sana kumpa nafasi ya kusoma engineering kwa miaka 3. Kuna baadhi ya watanzania waliojiunga na vyuo vikuu vya UK na kumaliza degree zao katika kipindi cha miaka mitatu. Miaka minne nadhani ilitumika kutoa exposure kwa mwanafunzi na vilevile kurudia fundamentals.

Kwa maoni yangu, wanafunzi wa Tanzania wangeweza kusoma kama wanafunzi wa UK. Kama kuongeza basi mwaka mmoja wa remedial ungetosha. Lakini hapo hapo ukumbuke, kulikuwa na mwaka mmoja wa jeshi. Na kuna kipindi mtu alitakiwa kwenda jeshini na baada kufanya kazi kwa miaka miwili kabla ya kwenda University.

Kuhusu Nairobi University sina taarifa zao ilikuwaje. Lakini na wao walibadili mfumo wa elimu na kufuta high school. Waliingia kwenye 8 ya primary-4 ya Secondary - 4 ya University.

Tukirudi kwenye Universities zetu, hao wanafunzi wali-fail kama wangesoma Marekani, wengeendelea vizuri sana. Mfumo wetu wa elimu una watu wenye roho mbaya tu. Sidhani maprofesa wetu wa miaka ya 1980 walikuwa mabingwa kuliko maprofesa wa second tier universities hapa Marekani....
Maprofesa wa Muhimbili ndio hao wanaopata uprofesa kwa utaratibu wa annual increment. Ni watu waliojipa utukufu au umungu-mtu toka siku nyingi. Soma cv zao. Mtu anaajiriwa akiwa na degree ya kwanza anaanza na cheo cha lecturer, ukiuliza utaambiwa MD ni zaidi ya digrii ya kwanza! Mtu mwenye masters degree anapewa uprofesa, ukiuliza utaambiwa "masters ya medicine ni zaidi ya PhD". Usitarajie maprofesa wenye arrogance ya aina hii wafurahie kuona mtu akikaribia kuwafikia kitaaluma, lazima wafanye figisu.
Nadhani mpaka sasa hivi ni Muhimbili pekee ndiko kwenye maprofesa wasiokuwa na PhD.
 
UDSM ya magenius kama KABUDI na MWAKYEMBE teh teh teh.

Yaani ninamuamini mbunge msukuma kuliko Prof au Dr wa hicho chuo cha JALALANI UNIVERSITY.
Kabudi alishastaafu halafu alijitoa ufahamu,udsm siyo jalalani.Miaka hiyo ya 1960s hadi 1990s udsm ilikuwa chimbuko la fikra na wanamapinduzi.Wakati wa Dar School pale kulikuwa kumenoga,John Garang,Emanuel Kivuitu,Walter Rodney ,Wanna Dia Wamba,Museven wa kipindi kile siyo huyu M7 mpenkoni,Kimambo,Haroub Othman Miraji,Kweka,Shivj nk walikuwa watu,ngoja nimwongeze na Matiko Matare na Gervas Mkili,hakika usingeweza kupaita Jalalani.
 
Nasikia siku hizi mwalimu wa chuo akitoa matokeo ya ufaulu mdogo anaundiwa tume! Na hapo ameudhuria vipindi vyote, katoa mazoezi darasani inavyotakiwa na mitihani imepitiwa na kamati husika kabla ya kupewa wanafunzi!!! Halafu, mnasema tunataka kupeleka mtu kwenye sayari kabla ya 2040!
===
Buriani Rose Nyerere!
nlisikitika sana bodi ya mkopo iliyakataa matokeo ya wanafunzi wa faculty flani pale DIT kisa 3/4 ya wanafunzi walikua wamezingua..
 
Back
Top Bottom