balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,474
- 12,608
Udsm alifika ila alidisco,kama kweli alika five years bungeni na hakuchangia lolote basi haikuwa mbegu halali kwa udsm.RIPNimeshangaa umesema mcheshi
Wakati alipokuwa mbunge hakuwahi kuongea chochote Hadi anamaliza ubunge..
Sikuwahi kujua alifika udsm
Interesting