Usiku wa kuamkia Jana amepumzika Mzee Nalaila Lazaro Kiula. Alipata kuwa Mbunge wa Zamani wa Iramba, na Waziri wa zamani wa Ujenzi na Mawasiliano, Naibu wa Waziri wa Elimu na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya.
Mzee Kiula ni mojawapo ya Wahanga wa siasa za fitna, majungu na mitandao ndani ya CCM.
Akiwa ktk kiwango Bora Cha Utendaji ktk Awamu ya Pili. Mzee Kiula alionekana ni tishio kwa wanamitandao watafuta Urais, ndipo alipoanza kuwindwa na akanasa ktk Sakata la kutumia vibaya madaraka na kupata msukosuko wa mkubwa uliompoteza kisiasa,!
Pamoja na uzuri wa Ripoti ya Warioba kuhusu Rushwa inashangaza eti ni Mwanasiasa mmoja TU ndiye alionekana ni mla rushwa! ..Kiula! Of all the People!?
Pamoja na misukosuko yote aliyopata Mzee Kiula aliendelea kuwa mwaminifu Kwa CCM Hadi umauti!
Mara kadhaa aliombwa apewe shavu CHADEMA, lakini alikataa kukisaliti chama chake!
Nafikiri ni Waziri pekee wa enzi za Mwinyi aliyeishi maisha ya kawaida ya Mtanzania hadi umauti!
Wengine wakisikia haya watakumbuka udhaifu wa kibinadamu wa Nalaila! Ukiwaza hayo kumbuka histori ya Mfalme Daudi!
Nenda kapumzike Mzee Kiula ,huu ndio mwisho wako wa kujiuliza ...Niliwakosea nini!
Mzee Kiula ni mojawapo ya Wahanga wa siasa za fitna, majungu na mitandao ndani ya CCM.
Akiwa ktk kiwango Bora Cha Utendaji ktk Awamu ya Pili. Mzee Kiula alionekana ni tishio kwa wanamitandao watafuta Urais, ndipo alipoanza kuwindwa na akanasa ktk Sakata la kutumia vibaya madaraka na kupata msukosuko wa mkubwa uliompoteza kisiasa,!
Pamoja na uzuri wa Ripoti ya Warioba kuhusu Rushwa inashangaza eti ni Mwanasiasa mmoja TU ndiye alionekana ni mla rushwa! ..Kiula! Of all the People!?
Pamoja na misukosuko yote aliyopata Mzee Kiula aliendelea kuwa mwaminifu Kwa CCM Hadi umauti!
Mara kadhaa aliombwa apewe shavu CHADEMA, lakini alikataa kukisaliti chama chake!
Nafikiri ni Waziri pekee wa enzi za Mwinyi aliyeishi maisha ya kawaida ya Mtanzania hadi umauti!
Wengine wakisikia haya watakumbuka udhaifu wa kibinadamu wa Nalaila! Ukiwaza hayo kumbuka histori ya Mfalme Daudi!
Nenda kapumzike Mzee Kiula ,huu ndio mwisho wako wa kujiuliza ...Niliwakosea nini!