Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Leo asubuhi nimepata habari za kusikitisha sana kuwa Fr Isidory Nyonzo wa kanisa kuu la Morogoro amefariki dunia na kuzikwa jana. Nimesikitika sana kwani ameondoka kabla sijatimiza ahadi yangu ya kwenda kumtembelea.
Ni mtu wa pekee sana katika historia ya maisha yangu na kifo chake kimenigusa sana. Naamini Mungu ataipokea nia yangu na salamu zangu atazipokea huko alikopumzika katika raha ya milele.
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe amina. Fr Nyonzo apate rehema kwa Mungu apumzike kwa amani....Amina.
Ni mtu wa pekee sana katika historia ya maisha yangu na kifo chake kimenigusa sana. Naamini Mungu ataipokea nia yangu na salamu zangu atazipokea huko alikopumzika katika raha ya milele.
Bwana ametoa, bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe amina. Fr Nyonzo apate rehema kwa Mungu apumzike kwa amani....Amina.