Buriani David Ngayoma, mpiga picha Sahara media

Buriani David Ngayoma, mpiga picha Sahara media

Dont go away

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2014
Posts
501
Reaction score
208
Mpiga picha mahiri wa Sahara Media Group bwana David Ngayoma hatuna naye tena baada ya kufariki dunia juzi kwa shinikizo la damu na kisukari...marehemu atazikwa leo jijini Dar.

ngayoma.png
David Ngayoma enzi za uhai wake

11061767_1154191901272958_3808542940222708846_n.jpg
 
Shinikizo la damu halisababishi mtu kupoteza maisha, labda complications..

R.I.P David
 
Pole kwa wafiwa Mwenyezi Mungu awape nguvu ya kulikubali hili.
 
Apumzike kwa amani.. Alikuwa na unasaba wowote na marehemu John Ngayoma huyu..?
 
Duniani sote tunapita..Pole familia ya Ngahyoma
 
Back
Top Bottom