Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 519
- 263
Poleni wafiwa. Safari hiyo ni ya kila mmoja.
Ha ha ha mkimbia umande anachimbwa biti ... waambie waache ugomvi wanatutia uchungu wafiwa
na begi zake mzirudishe kama alivyokuja nazo mwz ..maana albino nyinyi sasa namarehemu mumlete na begi moja muone
rip br
Kuna taarifa toka Mwanza kuwa...chanzo cha kifo chake ni stress za mishahara....alikuwa hajalipwa mshahara kwa miezi 8 na wiki mbili zilizopita aliwabeba watoto wake akaenda nao kazini kwake kwa sababu watoto walidai "ada" baba yao akaamua kuwabeba watoto wake wote 3 hadi ofisini kwa mkuu wa utawala...
huku nyumbani kulikuwa hakukaliki kabisa kwani mke wake alianza kuja juu akitaka pesa za matumizi...hali hiyo ilipelekea msongo wa mawazo hivyo kusababisha pressure kupanda ghafla...wafanyakazi wenzake wanasema...siku aliyokwenda na watoto wake kazini kwake baada ya siku 2 alipewa mshahara 1 tu...wakaahidiwa kuwa zingine watamaliziwa baada ya siku 2....lakini hawakupewa...
Hii haiyumkiniki. Miezi nane, katika hali ya kawaidia, ni mingi sana. Ni yeye pekee hakuwa analipwa au ni wafanyakazi wote wa sahara media?Je hakukuwa na sababu maalumu kwa nini hakuwa analipwa? Alikuwa na madeni?Kuna taarifa toka Mwanza kuwa...chanzo cha kifo chake ni stress za mishahara....alikuwa hajalipwa mshahara kwa miezi 8 na wiki mbili zilizopita aliwabeba watoto wake akaenda nao kazini kwake kwa sababu watoto walidai "ada" baba yao akaamua kuwabeba watoto wake wote 3 hadi ofisini kwa mkuu wa utawala..
.huku nyumbani kulikuwa hakukaliki kabisa kwani mke wake alianza kuja juu akitaka pesa za matumizi...hali hiyo ilipelekea msongo wa mawazo hivyo kusababisha pressure kupanda ghafla...wafanyakazi wenzake wanasema...siku aliyokwenda na watoto wake kazini kwake baada ya siku 2 alipewa mshahara 1 tu...wakaahidiwa kuwa zingine watamaliziwa baada ya siku 2...
.lakini hawakupewa...
Apumzike kwa amani.. Alikuwa na unasaba wowote na marehemu John Ngayoma huyu..?
Kaka marehemu alikuwa na umri gani?RIP David
Yaani hizi BP na Kisukari sasa hivi zinaondoa vijana sana. Yaani ukishafikisha miaka 35 ongeza umakini katika lifestyle yako, miaka 40 na kuendelea ndio kabisa.
Kuna taarifa toka Mwanza kuwa...chanzo cha kifo chake ni stress za mishahara....alikuwa hajalipwa mshahara kwa miezi 8 na wiki mbili zilizopita aliwabeba watoto wake akaenda nao kazini kwake kwa sababu watoto walidai "ada" baba yao akaamua kuwabeba watoto wake wote 3 hadi ofisini kwa mkuu wa utawala..
.huku nyumbani kulikuwa hakukaliki kabisa kwani mke wake alianza kuja juu akitaka pesa za matumizi...hali hiyo ilipelekea msongo wa mawazo hivyo kusababisha pressure kupanda ghafla...wafanyakazi wenzake wanasema...siku aliyokwenda na watoto wake kazini kwake baada ya siku 2 alipewa mshahara 1 tu...wakaahidiwa kuwa zingine watamaliziwa baada ya siku 2....lakini hawakupewa...
Mkuu hizi habari zina ukweli wowote au ndo redio mbao..?
Kuna taarifa toka Mwanza kuwa...chanzo cha kifo chake ni stress za mishahara....alikuwa hajalipwa mshahara kwa miezi 8 na wiki mbili zilizopita aliwabeba watoto wake akaenda nao kazini kwake kwa sababu watoto walidai "ada" baba yao akaamua kuwabeba watoto wake wote 3 hadi ofisini kwa mkuu wa utawala...huku nyumbani kulikuwa hakukaliki kabisa kwani mke wake alianza kuja juu akitaka pesa za matumizi..
.hali hiyo ilipelekea msongo wa mawazo hivyo kusababisha pressure kupanda ghafla...wafanyakazi wenzake wanasema...siku aliyokwenda na watoto wake kazini kwake baada ya siku 2 alipewa mshahara 1 tu...wakaahidiwa kuwa zingine watamaliziwa baada ya siku 2....lakini hawakupewa...
Kaka marehemu alikuwa na umri gani?
Jana ulimsikiliza yule mchungaji aliyekuwa anahubiri katika misa ya kumuombea marehemu Dar? ilirushwa star tv...yule mchungaji alisema kuwa...Kilichomuua David ni msongo wa mawazo kwani mwajiri wake ambaye ni Antony Diallo (MNEC CCM) alikuwa hajamlipa mishahara yake kwa miezi 8...nimempigia cm rafiki yangu mmoja pale star tv ameniambia hivi...." Kaka Diallo anatuhuwa, marehemu David alikuwa hajapewa mishahara kwa miezi 8, hata mimi (yeye) hajapewa mishahara yake ya miezi 7...mara ya mwisho nililipwa mshahara 1 tukiwa na marehemu Ngahyoma" kaka kama una shaka na kama una mtu pale star tv au RFA mpigie cm tu...
Jana ulimsikiliza yule mchungaji aliyekuwa anahubiri katika misa ya kumuombea marehemu Dar? ilirushwa star tv...yule mchungaji alisema kuwa...Kilichomuua David ni msongo wa mawazo kwani mwajiri wake ambaye ni Antony Diallo (MNEC CCM) alikuwa hajamlipa mishahara yake kwa miezi 8...nimempigia cm rafiki yangu mmoja pale star tv ameniambia hivi...." Kaka Diallo anatuhuwa, marehemu David alikuwa hajapewa mishahara kwa miezi 8, hata mimi (yeye) hajapewa mishahara yake ya miezi 7...mara ya mwisho nililipwa mshahara 1 tukiwa na marehemu Ngahyoma" kaka kama una shaka na kama una mtu pale star tv au RFA mpigie cm tu...