Mkuu hata mimi nimeogopa maana mimi niligundulika juzi juzi kuwa ni pre-diabetes, nilikuwa na kilo 115 nimeshauriwa nipunguze sasa nina 90 niliacha kabisa kula wanga chakula changu kilikuwa ni low carb mbogamboga matunda hasa parachichi na apple...kwa kifupi magonjwa haya non communicable yanasababishwa na lifestyle, mimi nilikuwa mtu wa kula sana ma michemsho bar na bia bila ya kuzingatia mazoezi...nilipatwa na mshtuko sana doctor alivyoniambia kwa mara ya kwanza ila kwa sasa nimekubaliana na hali hiyo...ugonjwa wa kisukari unaweza kuuchelewesha ile onset yake kwa kufanya mazoezi na kuzingatia lishe bora acha kabisa chipsi mayai unywaji wa kupindukia etc