sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
wanao fikiria kutumia masaburi utawajua tu,kwa hiyo wewe ukiambia utoe tofauti kati ya zitto na shibuda,utasema awana tofauti?kazi sana tukiwa na watu kama nyie 10 tu tunaangamiza nchi.ZITTO hana tofauti na shibuda wote sawa