Bungeni: Zitto Kabwe amtolea uvivu Shibuda

maandalizi ya mwisho yanafanyika ili kuondokana na uongozi wa jk.......tukiendeea kwa kupiga kelele hivi yule hasikii ....lazima tufanye namna atoke na pale......
 
Wabunge wa CCM wanakusanya pesa kwa ajili ya T/shirt na Kanga kwa ajili ya kuwadanganya watanzania uchaguzi ujao. Tunawakumbusha kuwa Watanznia wa leo HA2DANGANYIKI. Tutawabwaga.
 
Alioanzisha hoja ya posho kuongezwa ni mbunge wa cuf alikuwa wakwanza kuchangia bajeti ya wizara ya A-mashariki ndipo katika kumalizia akadai wabunge wanamatatizo pesa wanazopewa azitoshi ivyo akamuomba mwenyekiti simbachawene ajalibu kuangalia ili waweze kuongezewa mishahara na posho,akamalizia kwa kumuunga mkono shibuda.
 
nasktka na nitaendelea kucktka ckuwah kufkiria km ipo cku zitto kabwe atakuja kushkilia jambo kisiasa,..ZITTO HAcHA SIasA braza
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
<br />
<br />
hivi wewe una akili timamu kweli? haufanani na Great Thinkers!
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
kwani watazitumia kwa raha labda waka ishi ugaibuni mda si mrefu tutaanza kuwa tafuta yuko wapi Mabutu....
 
Shibuda ni YUDA ISKARIOTE(Wa tatu kulia) ndani ya CDM

lastsuppertongerlocopyz.jpg
 
nakuona mwiyuzi unaperuzi thred hii.....wee lini utaenda kumg'oa yule mama anaeuza sura kule NKENGE?

Mix with yours

bado nasoma nyakati.........mbona wageni 98 kwenye hii thread wengi kuliko wenyeji 50?
 
CDM NDIYO UKOMBOZI KWA WATANZANIA WAZALENDO WA NCHI,HATA HUYO SHIBUDA ACHA AENDE TU HANA MAANA KWA WATANZANIA HATA KIDOGO. Mapambano yataendelea mpk kieleweke!! CDM! Ukombozi ni sasa!
 
kichwa cha zitto huwezi compare na cha chubu khaaa uwezo wa kuchanganua kutoa hoja
 
Wabunge wa ccm kupitisha budget za wizara wapewe hela, kamati za bunge zilizoundwa na ccm zinaomba rushwa na ongezeko la mishahara na posho zao waombe nyongeza wao. Halafu mwananchi anatabika na maji, umeme,usafiri bei juu, mafuta bei juu, dawa mahospitalini hamna. Viongozi wa ccm kama kuna chembe ya ubinadamu imebaki yafaa wakae kimya hata kidogo japo haitusaidi cc wananchi
 
Back
Top Bottom