Bungeni: Zitto Kabwe amtolea uvivu Shibuda

There are currently 294 users browsing this thread. (71 members and 223 guests):

sem2708, DMussa, Truenorth, nduu/mamaya, figganigga, lyimo, mtoto wa mama, Mwamikili, mgt software, mfngalo, Mzee Wa Rubisi, nice 2,
Pumba Mwiko, elba, Mwiyuzi, Froida, Jethro, Abbasy, watarime, simba d, Ngandema Bwila, Kwayu, opwa, seniorgeek, Wizzo, ukwelikitugani, Obi,
Mwita Maranya, Mr. Zero, Leonard Akaro, escober, Sabung'ori, Namtambo, babayaro, segwanga, Mzee Dogo,
TGM, Gamba la Nyoka, RealMan, mbosia, J Mbungi, Kicheruka, Fahd, Wakuja, 2simamesote, Gerrard, THE PERFECT,
Maisha, Gendo, Sanja, Bukyanagandi, BobKinguti, Zitto, slym, woyowoyo, kalou, Lyangalo, Kanigini, Mndamba, Kapwani,
Mr.Mak, Mnwele, punainen-red, Hosida, Wambandwa, Mganji, babap, mohermes, Ngereja, mbarbaig,

Hapo kwenye red, kuna tofauti gani kati ya mbunge kucheck internet bungeni na wanaosinzia bungeni au Zungu kuongea na simu bungeni.
 
Nzi haoni aibu kufia kwenye kidonda, vivyo hivyo na wabunge wa ccm.
.
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia chadema inchi ndo itakuwa ya asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa ccm wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
brain damaged old fool.
 
Hapo kwenye <font color="#ff0000"><b>red</b></font>, kuna tofauti gani kati ya mbunge kucheck internet bungeni na wanaosinzia bungeni au Zungu kuongea na simu bungeni.
<br />
<br />

Kwani Mkuu unatupia mobile, laptop au desktop? Unaweza uka login halafu ukaendelea na mambo mengine kama salio linaruhusu!
 
Hapo kwenye &lt;font color=&quot;#ff0000&quot;&gt;&lt;b&gt;red&lt;/b&gt;&lt;/font&gt;, kuna <b>tofauti gani</b> kati ya mbunge kucheck internet bungeni na wanaosinzia bungeni au Zungu kuongea na simu bungeni.
<br />
<br />
Dogo kwa kuwa bado mdogo hujawa mkubwa naomba nikujibu kifupi tu.


Anayesinzia hana akijuacho ktk majadiliano ya mjadala uliopo mezani. Japo hawasumbui wenzake kwa kelele la anawavunja moyo kwa kutozingatia kwake.


Anayepiga simu hana akijuacho ktk majadiliano yanayoendelea anawasiliana kwa simu. Si rahisi kuwa na 100% usikivu na concentration kwa kumsikiliza wa kwenye simu na wabungeni. Kama haitoshi ni kuwa unawasumbua wenzako kwa kelele pia kuwavunja moyo kwamba hauko pamoja nao ktk mjadala.


Kucheck internet ni kama kusoma nondo za Bunge. Je wabunge wawapo bungeni wasisome chochote? Mbunge wakati mjadala unaendelea anaweza akatumiwa nondo ya maana sana thru mail akaitumia kujenga hoja au kuupinga uongo wanaotaka kulishwa watz. Lakini pia kwa kuwa ipo mitandao ya kijamii inaweza kumtia moyo au kumsahihisha kwa kile alichosema naye akafanya marekebisho mapema. Uzuri wa kusoma ni kuwa huwasumbui wenzako kwa kelele wala kuonekana hauko pamoja nao ktk mjadala. Masikio yananafi kubwa kukipata kinachojadiliwa ilhali macho yanatafuta maarifa au taarifa za ziada.


Just kwa ufupi, nafikiri mdogo wetu utakuwa umeelewa.
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!

hivi jamani huyu myz au m-burundi? maana sitegemei mtu anaejua japo kusoma na kuandika athamini kuwaachia wanae mali halamu ya wizi na dhuruma eti kwa kuhofia kuwaacha fukara! Eri yetu mafukara halali kuliko nyie matajiri haramu!
 
Umeeleweka vizuri mkuu mapambano yanaendelea hukumu 2015 kama tutafika salama!!!!!!!

Wewe huko 2015 tunachelewa tutavuna mabua, tunasubiri Bunge liishe makamanda warudi kwa wananchi tulianzishe! Kama tulifukuza mzungu mnyonyaji ije kuwa mswahili mwizi?
 
Nilidhani CCM wangezomea, lakini baada ya kuona jinsi hoja ilivyojengwa vizuri wote walikaa kimya. Somo limeeleweka. Leo ilikuwa siku ya wabunge wa CCM kuinamisha vichwa chini. Kwa hiyo, Mapambano yanaendelea, watanzania wanatafakari. Hukumu 2015 kama tutafika salama.

Ninawasiwasi kama tutafika salama maana kila siku mambo ndo yanazidi kuparaganyika!
 
kanga, fulana, kofia,pilau, pombe na cash wachukue ila ndani ya kichumba cha kupigia kura akili mukichwa!! Mfano mimi nilichukua fulana na kofia nikampa kijana wangu wa ng'ombe na waote wawili (nina hakika) hatukuipigia kura CCM!!!

Mkuu kushika tu kofia na t-sheti hata kama hukutumia ni kosa kubwa kwani yale maguo yao ya kijani na njano nikikosea kuyaweka chumbani naweza kupata nightmare za kufa mtu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nilidhani CCM wangezomea, lakini baada ya kuona jinsi hoja ilivyojengwa vizuri wote walikaa kimya. Somo limeeleweka. Leo ilikuwa siku ya wabunge wa CCM kuinamisha vichwa chini. Kwa hiyo, Mapambano yanaendelea, watanzania wanatafakari. Hukumu 2015 kama tutafika salama.

Ukweli kuwa walizomea lakini sasa hata wakizomea wao pia wajue wanazomewa na wanachi. Leo pia wanataka wabunge wa EAC wawe wanaripoti kwao (Jimboni) wanasahau kuwa hata wao wamehamia Dar na kukwepa majimbo yao.
 
Back
Top Bottom