Bungeni: Zitto Kabwe amtolea uvivu Shibuda

Bungeni: Zitto Kabwe amtolea uvivu Shibuda

<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!

We Masaburi ya kuku............. Upepo ukivuma tutakuona tu!
 
Ni wakati sasa wa wananchi kutambua nani kiongozi wa wananchi
na nani kiongozi maslahi...

wengi ni viongozi maslah kwa vule wanataka kurudisha gharama zao kwa haraka walizotumia katika chaguzi
 
Hawawezi kuacha kuzomea wakati Zitto anatumia kichwa wao wanamtumia Masaburi kufikiri

Mmmh! Watu mnajua sana ku-contextualize ... huku kufikiri kwa kutumia Masaburi ni kwa vile aliwasema wabunge kuwa wanafikiri kwa kutumia *******. Nimecheka bila kupenda.
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
Hivi wewe nawe ni MTZ!
Inawezekana una familia!
Inawezekana umeoa au kuolewa!
Inawezekana unategemewa!

AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUU!

TU...................!
 
acaha
ZITTO hana tofauti na shibuda wote sawa

achana na hiyo genious inaitwa zitto akili ya zitto na uwezo wake wa kujenga hoja ni sawa na wabunge au vichwa vya wabunge kumi kutoka chama cha magamba achana na mh.zitto huyo wa ukweli.........................................................................................
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
<br />
<br />
Unawaza na masaburi ee!
 
Shibuda ndo walewale..njaa inamsumbua..mpaka umri ule hana kitu aganga tu na posho..shenzi kabisa..anatumia masaburi bila shaka!
 
Siku serikali ikifilisika na ikalazimu kutukata mishahara ndio watajua hasara ya kula posho kwani mie binafsi kamwe sitakubali nikatwe mshahara kwasababu uzembe na ujinga wa watu wanaojali maslahi yao binafsi kuliko ya wale waliowachagua. Wabunge wa CCM na Shibuda wanamatatizo na hawajali ila mifano hai inawazunguka mfano Greece walikuwa wanashangilia posho wamefilisika wanaenda kuwapigia miguu wananchi kwa kuwaomba wakubali kodi ya nyongeza na kukatwa mishahara. Hakuna mtu atakayekubali kwani mlipokuwa mnazipokea posho mlikula nyie na watu wenu wa karibu. Ni vema wananchi wakaamka na kuwanyima kura hawa walafi, na wasio na chembe ya uzalendo.
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!

Wewe ndio mpuuzi kuliko wapuuzi wote niliopata kuwasikia au kuwaona! Kwa hiyo kwa vile baba yako aliiba na kukuachia wewe mali ndio unaona alikuwa mjanja sana? Baba yako aliweza kuiba kwa sababu alikuwa na nafasi ya kuiba! Na unataka hao wabunge waendelee kuiba au kulipwa posho to the expence of the common wananchi unaona sawa kwa vile watapata cha kuwaachia watoto wao pale watakapo kufa! Lol! Unatia aibu, hasira na kinyaa!

Kwa hiyo unawaambia nini wale ambao hawako katika position ya kuiba au kulipwa posho?

Je unadhani watanzania (adults) wote zaidi ya milioni 20 wanaweza kuwa wabunge, makatibu wakuu au wakurugenzi au mawaziri kwa wakati mmoja ili waweze kupata utaji kwa posho au kwa kuiba na hivyo wasife fukara? Pumbavu zako!
 
We menny terry, umezoea kula za kuibwa na za wanyonge, Fikira zako yako matakoni ndiyo maana huwezi kukumbuka wanyonge wanaokufa kwa njaa huko singida, dodoma na maeneo mengine humu nchini wakati wana CCM wanashangilia posho.
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!

Masikini mtoto si riziki
 
<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!

kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wake
.....hakika moyo wako umesheheni matukano!!!!! wewe ni great sinker


BIG UP ZITO!!
 
Tumewazoea wabunge wa CCM na pia naona hapa hata Mungu anawachukia sana maana kila wakati wa kuchangia wanachangia pumba tupu!! Hongera sana CHADEMA
 
Alioanzisha hoja ya posho kuongezwa ni mbunge wa cuf alikuwa wakwanza kuchangia bajeti ya wizara ya A-mashariki ndipo katika kumalizia akadai wabunge wanamatatizo pesa wanazopewa azitoshi ivyo akamuomba mwenyekiti simbachawene ajalibu kuangalia ili waweze kuongezewa mishahara na posho,akamalizia kwa kumuunga mkono shibuda.
Tena Mhe.simbachawene akasema "hapo kwny posho" ndio umemalizia vizuri,thats Mhe.zitto akawachana..safi sana.
 
Ni wakati sasa wa wananchi kutambua nani kiongozi wa wananchi
na nani kiongozi maslahi...

CCM ni Complete Corrupted Members
Sito washangaaa viongozi wa CCM unajua hakuna umaskini mbaya kama kukosa akiri(Upungufu wa mawazo) ya kufikili tu japo hata kidogo

ndio haya sasa ya wabunge wa CCM kuzomea bila hoja sasa hapo ni kuwakumbusha jamani tusililie Posho ni Muda wa kupigania HAKI na MAHITAJI ya Watanzania sijui kuwa na ufinyo wa akili wao wanaona ni jambo dogo na jepesi sana sasa wajue wanajipalia mkaaaaa 2015
 
Miafrika jamani hata sielewi niseme kitu gani..

Humu ndani kuna watu wanamsifia Shibuda kwa sababu tu anapingana na uongozi wa Chadema kuhusiana na Posho za Wabunge japokuwa yeye mwenyewe anapingana nazo. Ni wepesi kuwatetea kina Lowassa na Rostam na Chenge kwa sababu tu leo wanapingana na JK au CCM na kadhalika ili mradi hatuna tunachosimamia isipokuwa ushabiki wa vyama kama mpira wa miguu..

Kusema kweli Zitto anazidi kuonyesha mfano mzuri sana wa kiongozi unatakiwa kuwa mbele ya issues wakati, kuweka maslahi ya wananchi wako mbele kama ilani ya chama inavyokuagiza. Na hata siku moja siwezi kushabikia kiongozi yeyote anayejaribu kuchukua mtazamo wake mwenyewe ili hali ktk kufanya hivyo anawanufaisha mafisadi ktk kutetea maslahi binafsi.. Shibuda ni BUDA kweli na hastahili kushabikiwa hata kama anapingana na Mbowe au uongozi wa Chadema au kina Lowassa na Rostam hawa ni watu wa kupigwa vita kila kona badala ya kuwashabikia ati kwa sababu tu wametofautiana na JK..
Ama kweli Mdanganyika ni kichwa cha mwendawazimu!.
 
Bado tu Mods hawajakuban!! Ok, tapita baadae kucheki...........

<br />
<br /> sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
 
ZITTO hana tofauti na shibuda wote sawa
<br />
<br />
Ckatai kwamba zitto na shibuda wako sw coz wote ni cdm..
Bt tofaut ipo zitto ni smart na ana2mia kichwa hatak kula hela ovyo ovyo bt shibuda daah anautahila kidogo coz ana2mia masubiri na haelewek wa2 wanali2a ume2 ye posho wat ze....?
Ujinga huu wa ppo wote wanaotaka posho iongezeke esp magamba hayajui ht mazuri
 
Shibuda shushushu hafaiiiiiiiiiiiiiiiii kuigwa na jamiii
 
Back
Top Bottom