Nilidhani CCM wangezomea, lakini baada ya kuona jinsi hoja ilivyojengwa vizuri wote walikaa kimya. Somo limeeleweka. Leo ilikuwa siku ya wabunge wa CCM kuinamisha vichwa chini. Kwa hiyo, Mapambano yanaendelea, watanzania wanatafakari. Hukumu 2015 kama tutafika salama.
Umeeleweka vizuri mkuu mapambano yanaendelea hukumu 2015 kama tutafika salama!!!!!!!Nilidhani CCM wangezomea, lakini baada ya kuona jinsi hoja ilivyojengwa vizuri wote walikaa kimya. Somo limeeleweka. Leo ilikuwa siku ya wabunge wa CCM kuinamisha vichwa chini. Kwa hiyo, Mapambano yanaendelea, watanzania wanatafakari. Hukumu 2015 kama tutafika salama.
walianza kuzomea then zitto mwenyewe akawapiga kibao kile cha ina ya kelbu.Nilidhani CCM wangezomea, lakini baada ya kuona jinsi hoja ilivyojengwa vizuri wote walikaa kimya. Somo limeeleweka. Leo ilikuwa siku ya wabunge wa CCM kuinamisha vichwa chini. Kwa hiyo, Mapambano yanaendelea, watanzania wanatafakari. Hukumu 2015 kama tutafika salama.
Nimeiona nami hiiyo. Kaeleza vizuri sana japo wabunge wa CCm walizomea...ikimaanisha wao ni posho tu, wananchi baadaye.
Hawawezi kuacha kuzomea wakati Zitto anatumia kichwa wao wanamtumia Masaburi kufikiriNimeiona nami hiiyo. Kaeleza vizuri sana japo wabunge wa CCm walizomea...ikimaanisha wao ni posho tu, wananchi baadaye.
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt; sasa we mpuuzi unadhani wakiingia CHADEMA inchi ndo itakuwa ya Asali acha mawazo ya kipododo kama babako alikufa fukara ndo imekula kwako wenzio wa CCM wanazomea ili wapate cha kuwaachia watoto wao.wewe kazi kuranda mjungu sijui utawaachia nini wanao kabwela mkubwa wewe!
Cha msingi tu wananchi waache kuendekeza njaa
na kupapatikia fulana na khanga!
kanga, fulana, kofia,pilau, pombe na cash wachukue ila ndani ya kichumba cha kupigia kura akili mukichwa!! Mfano mimi nilichukua fulana na kofia nikampa kijana wangu wa ng'ombe na waote wawili (nina hakika) hatukuipigia kura CCM!!!
ZITTO hana tofauti na shibuda wote sawa