Ameomba asamehewe kwa kutukana bungeni
Kama serukamba kaomba radhi ana busara....hivi "inkoskaz" bwana membe alishawahi kuomba radhi kuhusu kauli yake aliyopitoa itv kwenye kipindi cha dakika 45 kuwa ana maadu 11 na wawili ni waandshi wa habari na atawpga kwa mkono wake na akipata urais atawapeleka uhamishoni kenya?
Watanzania tunapaswa kushinikiza mbunge huyu ajiuzulu haraka sana.ni mtu mzima hajielewi kitu gani hanafanya anashindwa na mtoto wa mid school..
Hahhaaaaaaa, well kuomba radhi ni uungwana ila asitwambie kuwa limemtoka kwa bahati mbaya kwani nani asiyejua kuwa "lips betray hearts?"
Ktk kikao cha bunge cha jioni hii mbunge peter serukamba aomba radhi kwa tusi alilolitoa bungeni mchana,kuwa lilimtoka kwa bahati mbaya!
Wana wivu na mama yako watu tumesikia halafu unasema wivu? Hivi watanzania sijui tuna akili au tope kichwani
Hauna cha kuandika si utulie unawashwa nini au unatafuta mime humu jf?
Hivi mbowe kawahi kuomba radhi aliposema kuwa nchi haittakalika.
hahahah kaka yangu bwana, eti kuachia ushuzi wakati wa kula; hahahahh!
yaani nimecheka mpaka basi, nikiimagine kule kwa babu Msuva mmekaa mnakula wali uliopikwa na mafuta ya karanga kwenye mbehe na kamwiporu kalikoungwa karanga jioni hiyo na ushuzi ule wa 'psyuuuuuu' uliojitahidi kuubana unatoka. LOL
Apelekwe polisi kama alivyosema makinda
Ni kweli IDAWA.mtukanaji yeyote yule atukani kwa bahati mbaya maana kimjazacho mtu moyoni ndicho kimtokacho.asijitetee moyoni mwake amejaa matusi.huyu atakua amezoea kumtukana mkewe mbele ya watoto wake.!
Hapo sasa, hahahaaaa... Inabidi tu ujitetee "KANFYUMPULUKA......." Lohhh, Maneno mengine ya Kinyamwezi bana 🙂
Ndio, kauli ya spika lazima iheshimiwe, au yupo Ndugai?