figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,674
- 59,154
ikishafika buchani nyama haiwezi kuwa ng'ombe. mia
Apelekwe polisi kama alivyosema makinda
Naangalia bunge sasa hivi..Selukamba kasimama na kuomba radhi kwa maneno aliyotoa mchana.
Wenje nae kaomba muongozo kwa Ndugai..akirejea agizo la Makinda jana kwamba mbunge yoyote atakayetukana atatatolewa nje na polisi. Na anasema Selukamba katoa tusi kubwa kuliko matusi yote yaliyowahi kutolewa bungeni.
Ni matusi gani Selukamba katukana..mliosikia tafadhali mtujuze.
Hahahaa, ni sawa na huku kwetu Sikonge, mtoto akiachia uchuzi wakati wa Chakula na anasema "Kimeniponyoka".
Ila kwa Kinyamwezi huwa ina-Sound vizuri sana. Sasa sijui yeye kaomba msamaha kwa lugha gani.
Kinyamwezi angelisema "Kanfyumpuluka......"
Kaunga , KIKUNGU , @ELNINO , St. Paka Mweusi ,na wengine mnasemaje? Nimepatia?
mh bahati mbaya wapi mtu akishazoea matusi hutukana ovyoovyo
lakini ustaarabu ukiwa nao kamwe huwezi kutukana kwa bahati mbaya kwa sababu hata tusi kuelea kichwani kwako haiwezekani.
huyu atakua amezoea kumtukana mkewe mbele ya watoto wake.!
Ktk kikao cha bunge cha jioni hii mbunge peter serukamba aomba radhi kwa tusi alilolitoa bungeni mchana,kuwa lilimtoka kwa bahati mbaya!
Ganja bwanaaa....duuh!!! Hizi bar zote karibu na ukumbi wa bunge zihamishiwe mbali.Ktk kikao cha bunge cha jioni hii mbunge peter serukamba aomba radhi kwa tusi alilolitoa bungeni mchana,kuwa lilimtoka kwa bahati mbaya!
mzee Alfu Lela Ulela edit post weka link hiiAmeomba asamehewe kwa kutukana bungeni
Ameomba asamehewe kwa kutukana bungeni
hilo siyo bunge bali ni danguro.