Bungeni: Serukamba aomba radhi

Bungeni: Serukamba aomba radhi

Mimi hainiingii akilini kwamba unatukana matusi ya nguoni kisha unaishia kuomba radhi tu basi!! Mtu unafahamu kabisa kwamba hili ni tusi lakini unaenda nalo kwa kujua tu kwamba nitasema samahani?!

Sasa bunge limegeuka kuwa kichaka cha watu kutukanana na kutukana. Demokrasia sasa inakuwa karaha.
Na bunge ni sehemu nyeti sana ya nchi, tena yenye kutolea maamuzi mazito. Hii anatakiwa awajibike zaidi siyo kusema tu samahani. Pengine, iwe ndo mwanzo wa sheria kali dhidi ya watumia lugha chafu sehemu za public kama hizo.
 
Nilisema mwanzoni kabsa kuwa huyu jamaa mh; serukamba nmemskiliza ktk vkao vingi anajua kujenga hoja na ana busara sana ndio maana nilisema lazma ataomba radhi huyu ni bnadamu nazani kaptiwa...ila nawashangaa kina nkamia na waliosema watawapga maadui zao wakiwemo waandshi wawili wa habari kwa mkono wao mpaka leo hawajawaomba radhi watanzania....hongera sana serukamba tunataka vijana kama wewe...

Mpumbavu kama aliyetukana.unamsifia kwani alijua yuko baa!hata baa lazima staha!CCM wamepanick kabla ya game yenyewe mwaka huu mtajibeba na kesi za kutengeneza!
 
Tatizo CCM wanajiona wao ni kama malaika wasiokosea,lakini mie naona tuwaache waendelee kupumbazika na hilo ndio anguko lao.
 
Bahati nzuri wabunge wa CHADEMA hawana matusi makali namna hiyo, CCM wataalamu sana. Na wanajiamini kupitiliza...wanachekewa, hawachukuliwi hatua!

Angekua mbunge wa CHADEMA ameikosoa serikali kwa ukali ama kuongea ukweli mchungu, ingekua bonge la topic na isingeisha...huu ni uonevu,bahati nzuri mbunge wa CCM ameanza na matusi mazito mazito...CDM tukiwapa vidonge vyenu halafu mtusulubu "HATUKUBALI" in Dk Slaa Voice..
 
Badirisha heading isomeke "Selukamba 'ajamba' Bungeni Ndugai akauka"! Kwa mujibu wa yule mbunge wa Zanzibar! Kama sisi tulioko madongo poromoka tumeusikia ushuzi wa Selukamba unanuka, iweje Ndugai hajausikia? Yaleyale, kunya anye kuku, bata akinya-kaharisha!
 
amesemaje tena serukamba au ndio ile F** UUU?
 
Naskia ameomba radhi wadau...kama ni kweli kaomba radhi amekomaa kisiasa...kna nkamia walkataa kuomba radhi
 
Inamaana hata asubuhi aliyekalia kiti aliuchuna kana kwamba hajasikia maneno hayo?
 
Naangalia bunge sasa hivi..Selukamba kasimama na kuomba radhi kwa maneno aliyotoa mchana.
Wenje nae kaomba muongozo kwa Ndugai..akirejea agizo la Makinda jana kwamba mbunge yoyote atakayetukana atatatolewa nje na polisi. Na anasema Selukamba katoa tusi kubwa kuliko matusi yote yaliyowahi kutolewa bungeni.
Ni matusi gani Selukamba katukana..mliosikia tafadhali mtujuze.

Ni vema katambua kosa na kuomba radhi
 
Kama serukamba kaomba radhi ana busara....hivi "inkoskaz" bwana membe alishawahi kuomba radhi kuhusu kauli yake aliyopitoa itv kwenye kipindi cha dakika 45 kuwa ana maadu 11 na wawili ni waandshi wa habari na atawpga kwa mkono wake na akipata urais atawapeleka uhamishoni kenya?
 
Kama serukamba kaomba radhi ana busara....hivi "inkoskaz" bwana membe alishawahi kuomba radhi kuhusu kauli yake aliyopitoa itv kwenye kipindi cha dakika 45 kuwa ana maadui 11 wanasiasa 9 na waandshi wawili wa habari na atawpga kwa mkono wake na akipata urais atawapeleka uhamishoni kenya? cz ni kauli hatari uktegemea nafasi yake na yanayotokea
 
Hahahaa, ni sawa na huku kwetu Sikonge, mtoto akiachia uchuzi wakati wa Chakula na anasema "Kimeniponyoka".

Ila kwa Kinyamwezi huwa ina-Sound vizuri sana. Sasa sijui yeye kaomba msamaha kwa lugha gani.

Kinyamwezi angelisema "Kanfyumpuluka......"

Kaunga , KIKUNGU , @ELNINO , St. Paka Mweusi ,na wengine mnasemaje? Nimepatia?

hahahah kaka yangu bwana, eti kuachia ushuzi wakati wa kula; hahahahh!
yaani nimecheka mpaka basi, nikiimagine kule kwa babu Msuva mmekaa mnakula wali uliopikwa na mafuta ya karanga kwenye mbehe na kamwiporu kalikoungwa karanga jioni hiyo na ushuzi ule wa 'psyuuuuuu' uliojitahidi kuubana unatoka. LOL
 
Beethove JF Si sehemu ya matusi katukane kwenye wall yako ya Facebook vp nyi vjana wa mdmu
 
Beethoven JF Si sehemu ya matusi katukane kwenye wall yako ya Facebook vp nyie vjana wa mdmu?​
 
Back
Top Bottom