Ameomba Bungeni, Naibu Spika alitaka kumaliza. Wenje kamshikilia kwamba maelekezo ya Spika hayakuwa kwamba ukiomba msamaha ndo unaachwa. Amemtaka Naibu Spika aite polisi mara moja ili Serukamba atolewe. Atatoa majibu baadae
Ameomba asamehewe kwa kutukana bungeni
wana msinginzia kwani CHADEMA wan wivu!
Naangalia bunge sasa hivi..Selukamba kasimama na kuomba radhi kwa maneno aliyotoa mchana.
Wenje nae kaomba muongozo kwa Ndugai..akirejea agizo la Makinda jana kwamba mbunge yoyote atakayetukana atatatolewa nje na polisi. Na anasema Selukamba katoa tusi kubwa kuliko matusi yote yaliyowahi kutolewa bungeni.
Ni matusi gani Selukamba katukana..mliosikia tafadhali mtujuze.
Nilisema mwanzoni kabsa kuwa huyu jamaa mh; serukamba nmemskiliza ktk vkao vingi anajua kujenga hoja na ana busara sana ndio maana nilisema lazma ataomba radhi huyu ni bnadamu nazani kaptiwa...ila nawashangaa kina nkamia na waliosema watawapga maadui zao wakiwemo waandshi wawili wa habari kwa mkono wao mpaka leo hawajawaomba radhi watanzania....hongera sana serukamba tunataka vijana kama wewe...
Yaleyale ya kuiba na kurudisha,kama sio taifa la aibu twajenga basi sijui tunajenga taifa la namna gani.
Nilisema mwanzoni kabsa kuwa huyu jamaa mh; serukamba nmemskiliza ktk vkao vingi anajua kujenga hoja na ana busara sana ndio maana nilisema lazma ataomba radhi huyu ni bnadamu nazani kaptiwa...ila nawashangaa kina nkamia na waliosema watawapga maadui zao wakiwemo waandshi wawili wa habari kwa mkono wao mpaka leo hawajawaomba radhi watanzania....hongera sana serukamba tunataka vijana kama wewe...
Ktk kikao cha bunge cha jioni hii mbunge peter serukamba aomba radhi kwa tusi alilolitoa bungeni mchana,kuwa lilimtoka kwa bahati mbaya!