Bungeni: Serukamba aomba radhi

Bungeni: Serukamba aomba radhi

spika awajibike kwa kashfa hii.haiwezekani kabisaaaaaaa
huyu inaonekana watu wadogo anawaonea sana kwasababu ajimilkishe uhuru kiasi hicho. Nidhamu bila uhuru ni utumwa na uhuru bila nidhamu ni fujo . Kwahiyo hana nidhamu ndo maana kichwani hakuna itifaki ya mtiririko wa maneno wapi azungumze lipi na wapi astamke. Nasikitika msamaha wake ni wa uongo kwasababu neno lile lilishawafikia walengwa na halitaondoka maishani mwao milele.
 
Hivi viongozi Wa CCM WANAJUA MAANA YA NENO KUDEKEZWA LINALOTUMIWA NA WAZAZI KWA WATOTO.? Je? Wanajua neno impunity? Je wanajua madhara ya kupuuza maaana ya maneno haya? Tujipe pole kwa kuongozwa na immoral imbasals.
 
Ndugai, Serukamba, Mwigulu na Lusinde HAWAFAI kuwa viongozi kwa hali yeyote ile.......waache wananchi wa wanakotoka wawachague kuwa wabunge....lakini hawa watu wasipewe uongozi.......hawa watu ni disaster......
 
huyu inaonekana watu wadogo anawaonea sana kwasababu HAIWEZEKANI ajimilkishe uhuru kiasi hicho. Nidhamu bila uhuru ni utumwa na uhuru bila nidhamu ni fujo . Kwahiyo hana nidhamu ndo maana kichwani hakuna itifaki ya mtiririko wa maneno wapi azungumze lipi na wapi astamke. Nasikitika msamaha wake ni wa uongo kwasababu neno lile lilishawafikia walengwa na halitaondoka maishani mwao milele.
 
asamehewe huyu kwani alimtukana mtu yeye si alitangaza kuwa yeye ni faka ebo mpaka aseme ameacha cc hatuelewi hata kidogo ana---- duh! fisi mkubwa
 
Back
Top Bottom