Bungeni: Mjadala mkali waendelea!

mkuu chuo cha mkwawa atafuna fedha za wanafunzi zinazotoka bodi
 
Deo anaongelea bodi ya mikopo.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
 
Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, amechanwa live na Deo Filikunjombe, mbunge machachari wa CCM. Tukiendelea hivi, nina hakika tutatoka hapa tulipo. Nawakilisha.
 
wakuu wa vyuo wanakula hela za wanafunzi, wanafunzi wakiandamana kudai mikopo wanapigwa mabomu
 
serikali ya ccm inadhani tanzania ni mali ya ccm
kasema deo
 
Vicent Nyerere kasema kwa ushahidi na kuwataja majina wamiliki wa makampuni ya ukaguzi wa magari kuwa ni ya nje kumbe NI WATANZANIA NA WAPO HAPA TZ HUKU WAKIWA WAMEYAPA MAJINA YA NJE MAKAMPUNI HAYO, NA KUSEMA WALIKUTANA MOVEN PICK....
NA KUSEMA MAKAMPUNI HAYO YALIKUSANYA DOLLAR MIL 18, na serikali kupata Dollar 2 mil tu, na kasema makampuni hayo hayafanyi ukaguzi wowote....
with guts, with confidence....
 
huyu waziri wa kilimo ni mbayuwayunsana mimi simkubali kabisa ngoja tusikie hoja zake
 
Wakuu nauliza swala moja muhimu sana tulitafakari kwa makini sana. Tuseme mathlan bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani na serikali halafu kinafuata nini? Je, kutakuwa na uchaguzi mpya (ikimpa JKnafasi kugombea tena) na kama ndivyo, tuseme JK akishinda uchaguzi huo ataendelea kuongoza nchi hadi mwaka 2017 au? naomba darasa..
 
Back
Top Bottom