Waziri wa Fedha, Mustafa Mkullo, amechanwa live na Deo Filikunjombe, mbunge machachari wa CCM. Tukiendelea hivi, nina hakika tutatoka hapa tulipo. Nawakilisha.
Vicent Nyerere kasema kwa ushahidi na kuwataja majina wamiliki wa makampuni ya ukaguzi wa magari kuwa ni ya nje kumbe NI WATANZANIA NA WAPO HAPA TZ HUKU WAKIWA WAMEYAPA MAJINA YA NJE MAKAMPUNI HAYO, NA KUSEMA WALIKUTANA MOVEN PICK....
NA KUSEMA MAKAMPUNI HAYO YALIKUSANYA DOLLAR MIL 18, na serikali kupata Dollar 2 mil tu, na kasema makampuni hayo hayafanyi ukaguzi wowote....
with guts, with confidence....
Wakuu nauliza swala moja muhimu sana tulitafakari kwa makini sana. Tuseme mathlan bunge likipiga kura ya kutokuwa na imani na serikali halafu kinafuata nini? Je, kutakuwa na uchaguzi mpya (ikimpa JKnafasi kugombea tena) na kama ndivyo, tuseme JK akishinda uchaguzi huo ataendelea kuongoza nchi hadi mwaka 2017 au? naomba darasa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.