Wakati wafanyakazi wa chini ambao ndio wanafanya kazi kubwa serikalini hakuna cha posho, exta duty issue kupata labda mara moja baada ya miezi 5 au 6 tena hela ndogo tu! malimbikizo ya mishahara kibao, watu wanaishia kukopa tu, ikija salary slip unatamani mtu mwingine asiione maana salio ni sh. 5000 tu mikopo kibao, jamani!!!!!!!!Ahsante Mhe Zito Kabwe na Mhe Mbowe pengine Serikali itasikia kilio cha wengi kwa kupitia ninyiMbowe ni mzalendo halisi wa nchi yetu, nimemsikia akisema pia viongozi wa umma wanatumia nafasi zao vibaya, wanasafiri na Business class au special,tembelea land cruiser, kulipana posho za mamilioni, semina kila wakati kuhusu kuepuka ugonjwa wa ukimwi n.k...............