Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Mbowe ni mzalendo halisi wa nchi yetu, nimemsikia akisema pia viongozi wa umma wanatumia nafasi zao vibaya, wanasafiri na Business class au special,tembelea land cruiser, kulipana posho za mamilioni, semina kila wakati kuhusu kuepuka ugonjwa wa ukimwi n.k...............