kuna mbunge amemkosoa mwigulu kuhusu nukuu yake kwenye kitabu cha kambi ya upinzani, kuwa walimu wote wa primary wanafanya biashara mashuleni badala ya kufundisha ,mmbunge wa upinzani amemkosoa akamwmabia arudi shule tena darasa la kwanza , mnyika kamtoa nishai na kufuta kauli yake