Watanzania tunapenda sana kupakana mafuta aisee. ukimwambia mtu dhaifu (weak) eti ni tusi!! au kumwambia mtu kafanya upuuzi (Negligence) eti ni tusi!! Kha!!!!! ndio maana hata amani yetu ni ya "Kichina"
busara inahitajika sana jaman kwenye UTAWALA,si mara ya kwanza rais kuitwa dhaifu,,,,kosa hili la kumtoa nje mbunge,,,kwa sasa wabunge wataona kutolewa nje ni issue ya KAWAIDA TU(ADHABU IMEZOELEKA
Mwaka jana wakati Sikonge watu wanakufa njaa, Mbunge Wa Jimbo la Sikonge Tabora Saidi Mkumba akimkabidhi Kiongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Saidi Mabera Kitata cha Shilingi Laki Tatu kwa ajili ya bendi.