GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Bungeni Jioni Hii
.Giza haliondoi kivuli.
Herbet Mtangi
Ukisimama na kivuli kinasimama, Kivuli hakifukuzi mwanga bali kinafuata Mwanga. Hivyo giza haliondoi kivuli Bajeti mbadala ya upinzani Bungeni ni kama kivuli haina Tija kwa serikali ya CCM.
Haya maneno ya Kishabiki yatakwisha lini kwa hawa wabunge hawa wenye fikara na mitazamo ya kishabiki?
Analalamikia MSD suala nyeti kabisa ambalo limezua maswali mengi kwa wabunge waliotembelea Bohari hilo la madawa la Taifa.
Huko napo ni uozo na ufisadi uliofichika haswa mpaka mfagiaji ana Bungalow, Miradi ya Uhakika ya kumwingizia riziki na usafiri wa ukweli kama wewe unafanya huko na hali yako ni hohehahe, unapigwa mswaki na wenzio.
Analalamikia kero ya kutopatikana kwa Dawa na huduma ya matibabu bure kwa wazee na watoto kama ilivyo sera ya Afya ya Taifa.
Herbet Mtangi
Ukisimama na kivuli kinasimama, Kivuli hakifukuzi mwanga bali kinafuata Mwanga. Hivyo giza haliondoi kivuli Bajeti mbadala ya upinzani Bungeni ni kama kivuli haina Tija kwa serikali ya CCM.
Haya maneno ya Kishabiki yatakwisha lini kwa hawa wabunge hawa wenye fikara na mitazamo ya kishabiki?
Analalamikia MSD suala nyeti kabisa ambalo limezua maswali mengi kwa wabunge waliotembelea Bohari hilo la madawa la Taifa.
Huko napo ni uozo na ufisadi uliofichika haswa mpaka mfagiaji ana Bungalow, Miradi ya Uhakika ya kumwingizia riziki na usafiri wa ukweli kama wewe unafanya huko na hali yako ni hohehahe, unapigwa mswaki na wenzio.
Analalamikia kero ya kutopatikana kwa Dawa na huduma ya matibabu bure kwa wazee na watoto kama ilivyo sera ya Afya ya Taifa.