Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,167
- 26,688
Hakuna wa kumfuta!AFUTWE UANACHAMA TU HANA LOLOTE
Hakuna wa kumfuta!AFUTWE UANACHAMA TU HANA LOLOTE
Shida mnapenda sana habari za kusikia!Ingekuwa ni wa upinzani angekuwa Segerea au Ukonga kwa kuikashifu serikali. Mnyika katamiwa ajieleze kwa kumwita rais mwongo. Huyu kaitwa kamati ya maadili kwa kumtuhumu rais na waziri kupokea rushwa anatembea huru kabisa kifua mbereeee
Achana nae huyo hana analojuaAya endeleza ujinga wako! Kwa hiyo ukiwa na imani ulale mlango wazi Mungu atakulinda? Stupid!
Hajigambi ndivyo ilivyo!Mbona huwa anajigamba kwamba Mungu hashindwi na kitu na ndiye alituvusha kwenye wimbi la kwanza bila chanjo iweje Mungu huyo huyo leo asimwamini?
Pole sana...Rashidi bwana. Sasa kama anaweza kufufua nini kitamtisha tena duniani, uchawi? Sumu? Mzee wa amfifiro ana imani haba
Kweli huwa tunamwomba Mungu atulinde baada ya kufunga milango na makomeo na ma grill magumu kuvunjwa.Aya endeleza ujinga wako! Kwa hiyo ukiwa na imani ulale mlango wazi Mungu atakulinda? Stupid!
Yaliyomkuta Mwakyembe ya kunyonyoka nywele umeyasahau?Hiyo ni ya kale sana toka enzi za Kolimba, alichofanya leo ni kutaka kutengeneza attention tu.
Ka nchi ka maboya kwanini asijitwalie ugreat thinker... Km tuko geto vile. Ugorougoro kila kukichaJamaa anajikuta great thinker fulani hivi kumbe boya tu
Hii huhitaji kuoneshwa na Mungu,ni mitego ya kawaida ya dola zote duniani pindi unapoonesha yafananayo na ya Rashidi dhidi ya dolaJe kama kaoteshwa hivo na Mungu wake asikalie wala kutumia mic aliyoikuta hawezi kupingana na maono yake
Mke wake nini kilimuuwa? Ukijua hilo utafahamu sumu ni kupata political mileage tuYaliyomkuta Mwakyembe ya kunyonyoka nywele umeyasahau?
Ha ha ha... 😁😁😁 Afadhali na kitu kizito.... Wewe unaneng'eneka kama umekalia kitu kilichochongoka lakini Butu....🤣🤣🤣Hahahaaaa Mbona unaweweseka kama umeshushiwa kitu kizito!
Kuna Watanzania wenye mbwembwe sana!Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.
Hiki ndicho nilichowaza Mimi.Hiyo mic aliyopewa ndo ilikuwa imeandaliwa, tulijua tu atajifanya mjuaji.
Anajifanya mcha Mungu halafu anakuwa na imani za kishirikina! Ni kipi kinamshinda Mungu iwe uchawi au sumu?
Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima amekataa kukaa kwenye kiti pamoja na kutumia kipaza sauti alichoandaliwa alipofika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge inayoongozwa na Mwenyekiti wake Emmanuel Adamson Mwakasaka, na kuomba vibadilishwe.