The got
JF-Expert Member
- Jun 26, 2021
- 367
- 390
Lakini ujue ni mpaka pale Mungu atakapo amua akulinde.Lakini Mungu zaidi,uchawi si lolote wala si chochote mbele ya Mungu.
Nguvu za Mungu sio zako hata uamue kuzitumia utakapo na utakavyo.
Nguvu za uchawi ni zako na unauamuzi Nazi.