johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,932
- 141,895
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi Oktoba na kumchagua Dr. Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"
Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi Oktoba na kumchagua Dr. Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu
Chanzo: Eatv
Maendeleo hayana vyama!