Bunge zima wakiwemo wabunge wa CHADEMA na NCCR Mageuzi waimba "Tuna Imani na Magufuli"

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,932
141,895
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.

Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"

Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi Oktoba na kumchagua Dr. Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu

Chanzo: Eatv

Maendeleo hayana vyama!
 
sio kweli usituone sisi mabwege ñyau wewe sio kama unamiliki TV peke yako...waliosimama ni wachache tu tena wengi wanawake wa Ccm kuna wabunge kibao walikaa akiwemo waziri mkuu
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ucjal bwashee, hv punde tu atakuwa mfalme
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.

Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"

Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu

Source Eatv

Maendeleo hayana vyama!
 
Imani gani wale wanahofia njaa itakayowakuta kama baba yao ataondoka!!
Recall speech ya Mwalimu .
 
Watumishi,wafanya biashara na graduates wapo hoi mtaani huko.Kinachoendelea bungeni ni futuhi na kujipendekeza na nidhamu ya uoga na kutafuta kuteuliwa ktk vyeo mbalimbali.
 
Aisee!!??? 🤔 Sipati picha kama ingekuwa kweli jinsi ambavyo Lumumba mngeshangilia.
 
22228155_1009674832507341_1402074420001502549_n.jpg
 
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu.

Bunge zima lilisimama wakiwemo wabunge wote na wageni wote na kuimba wimbo wa " Tuna Imani na Magufuli"

Bunge limewaomba wananchi wajitokeze mwezi October na kumchagua Dr Magufuli na wabunge na madiwani wanaoendana na kasi ya Hapa Kazi Tu

Source Eatv

Maendeleo hayana vyama!
heee, bunge linafanya kampeni? haya ni maajabu!
 
Back
Top Bottom