Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,471
- 34,333
Ni vema Waziri husika akalifungia hilo gazeti hilo.
Waziri hawezi kwasababu hana '' moral authority" kama hakulifungia lile la RA, anaogopa kusotwa kidole. Huyu waziri ni mtawala si kiongozi,kwahiyo anajali tumbo lake zaidi kuliko maslahi ya taifa. Anaogopa kumuudhi RA na automatic mzee, sasa hawa wengine ni opportunistic tu.
Jamani hawa ni watu wasiozidi 5, kwahiyo msihukumu jumuiya yote kwa matendo yao. Mbona wapo waliosoma madrasa na wamechukizwa na hili jambo!!!! Mimi nilikuwa Iringa Askofu alimpokea Mkapa wakati wa sakata la kiwira, Mkapa akatoa Milion 5, askofu akamsafisha mbele ya kanisa kuwa ni mtu safi. Waumini walichukia sana kwa tendo la askofu huyo, Mimi nilimchukulia kama askofu dhaifu aliyetaka michango mikubwa, kamwe sikuwalaumu au kuwahukumu wafuasi au kanisa. Na tujiulize hivi Makasisi waliowalawiti maelfu ya watoto dunia wamefanya hivyo kwa udogo wa elimu yao, au wametumwa na jumuiya zao? Ku generalize issue kuna utata sana,kwahiyo tujitahidi kuto kutoa ''collective punishment''
Kwahiyo hayo ya kigazeti ni kuwaambia Acheni ujinga ninyi waandishi wa Alnuur! na siyo the entire society.
Let stand together to safeguard our values, tradition and norms as Tanzanian. Ndiyo sifa yetu, wachache wasituvuruge.