johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,808
- 141,710
Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa na mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho mchungaji Peter Msigwa amesema mtu pekee anayestahili kuwa Spika wa bunge la JMT kwa sasa ni mh Andrew Chenge.
Mchungaji Msigwa ni jirani wa mh William Lukuvi pale Iringa ambaye anatajwa pia kumrithi Ndugai.
Msigwa ametoa ushauri huu kwa CCM kupitia ukurasa wake wa twitter.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mchungaji Msigwa ni jirani wa mh William Lukuvi pale Iringa ambaye anatajwa pia kumrithi Ndugai.
Msigwa ametoa ushauri huu kwa CCM kupitia ukurasa wake wa twitter.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!