Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account

POMPO

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
6,690
2,400
Bunge limesitisha mjadala / report ya sakata la ITPL / Escrow account.

Hii inatokana na mapema leo. Mh. Lukuvi kutoa ratiba mpya ya shughuli za bunge na kushindwa kuonyesha ni lini ratiba ya kuruhusu mjadala huo.

Mbunge wa CUF ameonyesha wasiwasi huo pamoja na Sugu.

Baada ya hoja hiyo ya ratiba mpya.

Mh. Ndungai kasema mjadala utakuwa wa jumla kutoka kwa kamati ya PAC ya Zitto Kabwe. Ndio atasoma hiyo 27 Nov. 2014.

Chukuo.
Swali la kujiuliza kutokabkwa wabunge:

Ni lini kamati ilisha wasilisha mjadala badala ya muhusika ambayo ni ofisi ya Waziri Mkuu?

Kamati ya Zitto wabunge na wana nchi hawana imani nayo. Wanamtaka PM atoe hoja. Kwa sababu report hiyo imekabidhiwa ofisini kwake.

Chazo: ITV
 
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
 
mchezo umeshaanza, namsubiri sana yule mzee aliyemwita mwenzake tumbili halafu tuone. maana hali tete, na bunge lisipojadili hili jambo litakuwa limeshindwa kuisimamia serikali, badala yake itakuwa ni sehemu ya serikali.
 
Bunge liko sahihi, mda ushatengwa kwa ajili ya suala hilo tu. Let be patient kidogo although peeeeaples are so eager to know kilichojiri
 
Bunge liko sahihi, mda ushatengwa kwa ajili ya suala hilo tu. Let be patient kidogo although peeeeaples are so eager to know kilichojiri

nakubaliana na wewe mkuu. Kuna watu wanawashwa kwenye makoo yao. Bila kugusia kuhusu escrow wanaona kana kwamba hawajachangia
 
nakubaliana na wewe mkuu. Kuna watu wanawashwa kwenye makoo yao. Bila kugusia kuhusu escrow wanaona kana kwamba hawajachangia
Mkuu uje humu ndani siku hizi kunawatu wamepagawa na maisha wanaruka kama ndege bila hata kujua wanatua wapi.
 
Tafadhali mwenye kuweza aweke hii picha sambamba na picha ya Kikwete akiwa katika wodi ya hospitali kule anakotibiwa!! Zile picha zilizotolewa na Ikulu; hizo picha zitafikisha ujumbe stahiki!!
Hizi hapa.
image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    44.1 KB · Views: 599
Back
Top Bottom