Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
Taarifa itawasilishwa kwa kamati ya PAC kisha wao ndiyo wataoileta bungeni baada ya kuipitia, ila Ijumaa ya wiki hii ndiyo tarehe ambayo imepangwa kuwasilishwa bungeni.
Maana ya escrow mnajua?Bunge limesitisha mjadala huo
ITV
Hahahahaaa ...mkuu Mingoi umewashupalia!Anaweweseka baada kusikia kuna viongozi wawili wakuu wa upinzani wamehusika.
= kilichojiri
Anaweweseka baada kusikia kuna viongozi wawili wakuu wa upinzani wamehusika.
Kosa la kiuandishi halibadilishi mantiki as long msomaji kaelewa kilichokusudiwa. Tafuta namna nyingine ya kutetea uozo na wizi unaofanywa na nyie mlio serikalini na sio kung'ang'ania makosa ya sarufi au alfabeti wakati ujumbe uliokusudiwa hata mbumbumbu atauelewa.
Kama li-jinga vile!!= kilichojiri
mchezo umeshaanza, namsubiri sana yule mzee aliyemwita mwenzake tumbili halafu tuone. maana hali tete, na bunge lisipojadili hili jambo litakuwa limeshindwa kuisimamia serikali, badala yake itakuwa ni sehemu ya serikali.
Anaweweseka baada kusikia kuna viongozi wawili wakuu wa upinzani wamehusika.
Maana ya escrow mnajua?
Mnasumbuka na jambo ambalo mahakama ilishaamua kama kweli wajanja mkakate rufaa siyo kuongea kwenye magazeti.
Bunge limesitisha mjadala / report ya sakata la ITPL / Escrow account.
Hii inatokana na mapema leo. Mh. Lukuvi kutoa ratiba mpya ya shughuli za bunge na kushindwa kuonyesha ni lini ratiba ya kuruhusu mjadala huo.
Mbunge wa CUF ameonyesha wasiwasi huo pamoja na Sugu.
Baada ya hoja hiyo ya ratiba mpya.
Mh. Ndungai kasema mjadala utakuwa wa jumla kutoka kwa kamati ya PAC ya Zitto Kabwe. Ndio atasoma hiyo 27 Nov. 2014.
Chukuo.
Swali la kujiuliza kutokabkwa wabunge:
Ni lini kamati ilisha wasilisha mjadala badala ya muhusika ambayo ni ofisi ya Waziri Mkuu?
Kamati ya Zitto wabunge na wana nchi hawana imani nayo. Wanamtaka PM atoe hoja. Kwa sababu report hiyo imekabidhiwa ofisini kwake.
Chazo: ITV
Mnasumbuka na jambo ambalo mahakama ilishaamua kama kweli wajanja mkakate rufaa siyo kuongea kwenye magazeti.
Bunge limesitisha mjadala / report ya sakata la ITPL / Escrow account.
Hii inatokana na mapema leo. Mh. Lukuvi kutoa ratiba mpya ya shughuli za bunge na kushindwa kuonyesha ni lini ratiba ya kuruhusu mjadala huo.
Mbunge wa CUF ameonyesha wasiwasi huo pamoja na Sugu.
Baada ya hoja hiyo ya ratiba mpya.
Mh. Ndungai kasema mjadala utakuwa wa jumla kutoka kwa kamati ya PAC ya Zitto Kabwe. Ndio atasoma hiyo 27 Nov. 2014.
Chukuo.
Swali la kujiuliza kutokabkwa wabunge:
Ni lini kamati ilisha wasilisha mjadala badala ya muhusika ambayo ni ofisi ya Waziri Mkuu?
Kamati ya Zitto wabunge na wana nchi hawana imani nayo. Wanamtaka PM atoe hoja. Kwa sababu report hiyo imekabidhiwa ofisini kwake.
Chazo: ITV