Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account

Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account

Mkuu tangu lini mhimili wa bunge unajadili maamuzi ya mhimili wa mahakama? Kwa tarifa yako zitto na mkono ndiyo waliohongwa sana kuliko wabunge wote tena wao wamehongwa na waingereza kupitia bengi yao.

Ndugu mara nyingi nimekuwa nikifatilia sana comment zako lkn niwe mkweli hadi sasa nimeshindwa kugundua km unayoongea humu huwa unamaaanisha au Nistori zakupitishia cku tu,,,! Hebu niondolee shaka ndg yangu Utakuwa umenisaidia sana.labda na mtu mwingine mwenye shaka yangu ili nitakapoendelea kuona comment zako nijue huyu ndg ndivyo alivyo,,,!
 
Nikuulize swali Buldoza,unategemea atakapokaa yesu siku ya mwisho na wewe utasogelea? madaraja ni mpaka mbinguni.Na usisahau pia KIKWETE ni chaguo la mungu.NYAMBAF

Yule mungu wa mlingotini?
 
Last edited by a moderator:
Wataalamu wekeni hii picha na ya kikwete akiwa hospital marekani.


306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
 
Ccm maji ya shingo mmenyimwa misaada mkome na prof wenu ombaomba
 
Mbona humtolei mfano mwinyi? Mdini mkubwa wee!!!

Si mnapenda kumsifia kila kitu mtakatifu Nyerere wakati yeye mwenyewe alikuwa na PS mzungu.Au ndio kusema kipindi hiko hakukuwa na mtanzania aliekuwa anafahamu kupiga typing na kuwaandalia wageni chai?
 
Ndugu mara nyingi nimekuwa nikifatilia sana comment zako lkn niwe mkweli hadi sasa nimeshindwa kugundua km unayoongea humu huwa unamaaanisha au Nistori zakupitishia cku tu,,,! Hebu niondolee shaka ndg yangu Utakuwa umenisaidia sana.labda na mtu mwingine mwenye shaka yangu ili nitakapoendelea kuona comment zako nijue huyu ndg ndivyo alivyo,,,!
........Huwa nikiona comments za huyo Simiyu Yetu ndo huwaga naamini kuwa kuna baadhi ya watu hutumia Makalio badala ya kichwa katika kufikiri.
 
........Huwa nikiona comments za huyo Simiyu Yetu ndo huwaga naamini kuwa kuna baadhi ya watu hutumia Makalio badala ya kichwa katika kufikiri.

Kwakweli mi sielewagi sababu mambo mengine anayoandikaga huwa nabaki na maswali nasubiri anijibu then ntajua
 

Hizo picha za DHAIFU akiwa huko majuu akitibiwa na hiyo ya wakina mama waliojazana kwenye wodi ya kuzalia ni muonekano halisi wa jinsi serikali ya MAGAMBA ilivyoshindwa kuwaletea maendeleo wananchi kwa takribani miaka 50 na hivi sasa inatumia kila hila kutaka kubaki madarakani; hila hizo zikiwamo kuingilia uhuru wa bunge kufichua ufisadi wao uliokithiri!!!
 
Back
Top Bottom