Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account

Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account

Mnasumbuka na jambo ambalo mahakama ilishaamua kama kweli wajanja mkakate rufaa siyo kuongea kwenye magazeti.

Aliyehukumu hiyo kesi nae imeonekana kalipwa malipo yasioeleweka toka akaunti ya malipo ya Escrow iliyokua Mkombozi Bank. Fafanua hilo kidogo mkuy!
 
.. Simiyu Yetu kwani hao wana kasoro gani si binadamu na wao
 
Last edited by a moderator:
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
......Hawa watu walikuwa wanasubiria treni au ilikuwaje hapa? Inaonekana kama vile wamesubiria kwa muda mrefu sana hadi wamechoka. Wape pole sana daahl!!
 
Kosa la kiuandishi halibadilishi mantiki as long msomaji kaelewa kilichokusudiwa. Tafuta namna nyingine ya kutetea uozo na wizi unaofanywa na nyie mlio serikalini na sio kung'ang'ania makosa ya sarufi au alfabeti wakati ujumbe uliokusudiwa hata mbumbumbu atauelewa.

Akishakosoa tu ndio anakuwa amechangia hoja. Huyo FF sometimes hazimo, anajifanya mjuaji wa kila kitu.

Vv
 
......Hawa watu walikuwa wanasubiria treni au ilikuwaje hapa? Inonekana kama vile wamesubiria kwa muda mrefu sana hadi wamechoka. Wape pole sana daahl!!

Hapo walikuwa word ya wazazi pale Bagamoyo Hosptal
 
Aliyehukumu hiyo kesi nae imeonekana kalipwa malipo yasioeleweka toka akaunti ya malipo ya Escrow iliyokua Mkombozi Bank. Fafanua hilo kidogo mkuy!
Mkuu tangu lini mhimili wa bunge unajadili maamuzi ya mhimili wa mahakama? Kwa tarifa yako zitto na mkono ndiyo waliohongwa sana kuliko wabunge wote tena wao wamehongwa na waingereza kupitia bengi yao.
 
Kuijua au kutoijua haina maana yyt watu wanataka PESA zirudi 200b Pipo wanakufa hakuna dawa Prof,,yuko US sasa kujua maana ya.hiyo.kitu itasaidia.nn
Ukijua maana ya escrow,hutahangaika kama unavyohangaika sasa,ndo maana amekuuliza.
 
Ukijua maana ya escrow,hutahangaika kama unavyohangaika sasa,ndo maana amekuuliza.

Sasa ndio inahalalisha wabunge,watumishi waandamizi wa serikali na viongozi wa siasa wazitafune?
 
Kuna watu wamevurugwa na msimamo wa Zitto
 
Ukijua maana ya escrow,hutahangaika kama unavyohangaika sasa,ndo maana amekuuliza.

Kinachojulikana ni kwamba watu wa Serikali wamepiga hiyo NOTI hata kufikia hatua waJOMBA wa Prof,,,kugoma kuchangia Bajeti sasa km kuna maana nyingine ambayo hata hao wajomba zake Prof,,hawaijui cvibaya kumwaga darsa hapa Jamvini,,,! Karibu
 
Sasa ndio inahalalisha wabunge,watumishi waandamizi wa serikali na viongozi wa siasa wazitafune?
IPTL alikua na haki hata ya kuzitupia chooni kama angetaka.si ni zake unless kama labda uonekane ushahidi kuwa zimewekwa katika account zaidi ya zilizotakiwa kuwekwa.
 
Kinachojulikana ni kwamba watu wa Serikali wamepiga hiyo NOTI hata kufikia hatua waJOMBA wa Prof,,,kugoma kuchangia Bajeti sasa km kuna maana nyingine ambayo hata hao wajomba zake Prof,,hawaijui cvibaya kumwaga darsa hapa Jamvini,,,! Karibu
Escrow generally refers to money held by a third-party on behalf of transacting parties.
 
Back
Top Bottom