Bunge la Tanzania limtangaze Catarina Viera kama adui wa Katiba ya nchi

Bunge la Tanzania limtangaze Catarina Viera kama adui wa Katiba ya nchi

Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Mjinga Mmoja wee.

Bashungwa, Mwanasheria Mkuu, Mchengerwa, Hawakuingilia Mahakama?.


Hivi JF Ina vilaza namna hii
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Ndyo maana wawekezaji huwa wakitaka kuwekeza iwepo sheria ya kama litatokea tatizo matatizo yao yakaamuliwe na mahakama za inje ya Tanzania siyo za ndani,kuna kaukweli ndani yake,lakini Rais Magufuli alikuwa anatupotosha na kusema Viongozi waliomtangulia walikuwa hawana uzalendo sababu walikuwa wanaridhia hicho kipengele,kumbe hatukujua kama mahakama zetu haziko huru
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Mbona taasisi mbalimbali zimetamka. Kesi ni ushahidi. Tayari mahakama itambue hii kesi ni yakuchonga na wote wanaotamka ni mashahidi wa mshtakiwa.

Ujiulize kwa nini watu wapaaze sauti aachiwe? Ina maana jamii inamfahamu.
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Wazungu wanajua hiyo ni mahakamaccm ndiyo maana wamekataa mahakamaccm kuhukumu chochote juu ya lisu kwani haifanyie kazi kwa mjibu wa sheria na katiba bali hufanya bali hufanya kazi kwa mjibu wa sheria binafsi za ccm
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili

Separation of powers Tz ni usanii mtupu!

ila bora kidogo Mahakama [Judiciary], Bunge ndio hopeless kabisa!
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Umeshachanganyikiwa punda wewe Njoo hapa Butiama ule mkutira.
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Tulieni bado ni mapema sana acheni kujambajamba! Kuna sunction moja itakuja hapo tutaheshimiana mbona
 
Tulieni bado ni mapema sana acheni kujambajamba! Kuna sunction moja itakuja hapo tutaheshimiana mbona
Hivi unadhani sanction huwa inambana nani ? The bourgeoisie ?

1746851090236.png
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Kwenye kisiwa chenu ni Kweli Serikali, Bunge na Mahakama ni mihimili huru? Labda tuanzie hapo kwanza.
 
Kifungu 107 B cha Katiba kinazuia mahakama ya Tanzania kuingiliwa na chombo chochote na hivyo kuwa huru kimaamuzi.
Leo hii Lissu akiachiwa wapo watakaojiuliza jee mahakama haijaingiliwa na Azimio la bunge la Ulaya katika kufanya maamuzi??

Wajuzi wa Sheria Pascal Mayalla njooni mjadili
Nchi zote duniani,zinatawaliwa na sheria 2, sheria za kitaifa,local laws or domestic laws, na international laws ambazo Tanzania tumezisaini na kuziingiza kwenye domestic laws likiwemo tamko la UDHR,nchi yoyote ikikiuka haki za binaadamu,inashukiwa kama mwewe!。

Japo kila nchi inapaswa kuwa huru na kutoingiliwa mambo yake ya ndani,sovereignity yake,lakini inapokiuka haki za binaadamu,hili sio jambo la ndani,ni jambo la kimataifa,ninashauri kale kasimba ka Kizimkazi kwenye ile cage,kaachiliwe tuu,katatuepushia mengi!

Tumemshauri bora tuu akaachie hako kasimba ka Kizimkazi,kanatuchafulia bure hali ya hewa kwa noise polution kutoka kila kona!,Pongezi Rais Samia kwa Tanzania kuwa Kinara Uhuru wa Habari, EAC, Vipi Kale ka 'Simba ka Kizimkazi' Mnaonaje Kaachiwe?, Kanatuvurugia Sana Amani?

Na hapo ni hivi vi bwanamdogo EU, very soon,kaka mkubwa US,ataingilia kati!

Kaachiwe tuu!。

P
 
Back
Top Bottom