Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Sheria inayotoa mamlaka kwa mtu kujipima UKIMWI

Hivi vipimo kila mwezi ndani kwangu nilikuwa napeleka nje kutupa dusbin limejaa kwenda kutupa baada ya kutumika, sio muumini wa condom hivi vipimo ndo vilikuwa kinga yangu, kwa vile wameruhusu sasa nitakuwa huru kununua tani nzima ya H.I.V test

Ulishawahi kumpima mtu akawa ameambukizwa..? Kama ndiyo, how would you handle that..?
 
Back
Top Bottom