Bunge la bajeti 2011/2012 na yatokanayo

TBC 1 LIVE Mustafa Mkulo anashusha mistari yenye vina kuhusiana na bajeti 2011 -2012 pata uhondo!
Mustafa-Mkulo.jpg

Upuuzi mtupu
 
Serikali ya Tanzania kwenye bajeti zake zote hakuna jipya zaidi yakuongeza bei ya sigara na vileo utasema hawana njia nyingine ya kupata mapato yatakayomtoa Mtanzania kwenye dimbwi la umasikini! Naona mwaka huu watawapandishia maaskari na FFU mishahara kutokana na kazi kubwa wanayoipata kupambana na maandamano ya PEOPLES POWERS CHADEMA!
 
kodi imepungua asilimia ngapi....?
Vyanzo vipya vya mapato je...?
waht about TAX HOLIDAY......? BLESSED 5 YEARS TAX EVASION (chadema didi it for 19 years)

LETS ALL CALL A SPADE SPADE
 
hivi hizi data za watu wenye ukimwi,case zilizofikishwa mahakamani etc bila cost implication tunapata picha gani kwenye uchumi wetu?..me naona waziri ameingilia kazi zisizohusu..ilipaswa atupe namna kesi au ukimwi etc ulivyosababissha kukua au kushuka kwa uchumi. lakini cyo kubwabwaja data bila uchambuzi wa kiuchumi.
 
Mganga, umeona hiyo, wabunge wa ccm wadada wawili nadhan walikuwa wana chit-chat, wanacheka tu huku wanabadilirhana vimemo, yan km class mwalimu anafundisha nyie mnapiga stor za bata la wikiend, aya bwana, wa ndiyo semen ndiyooo..
 
Mganga, umeona hiyo, wabunge wa ccm wadada wawili wanadian walikuwa wana chita chat, wanacheka tu huku wanabadilirhana vimemo, yan km class mwalimu anafundisha nyie mnapiga stor za bata la wikiend, aya bwana, wa ndiyo semen ndiyooo..
wanasubiri 80000/= +70000/= wanashida gani mkuu .......hasira tu wanatia watu wenye njaaaaaaaa
 
Mkulo anasema malengo yaliyowekwa yatafikiwa iwapo MISAMAHA YA KODI ITAPUNGUZWA na kuweka mazingira mazuri ya biashara
 
nguna.jpg

Je bajeti yetu itaweza kuondoa kazia kama hizi za mlo mmoja watu kumi?..Maisha bora kwa watanzania bado yataendelea kuwa ndoto za mchana!
 
Tunaomba mlioko huko mtuweke bajeti hiyo hapa. Mkulo akifanya mchezo uchumi Wa Tanzania utaangukia mikononi mwake.
 
TBC 1 LIVE Mustafa Mkulo anashusha mistari yenye vina kuhusiana na bajeti 2011 -2012 pata uhondo!
Mustafa-Mkulo.jpg

wanafikiria kupandisha bia, soda na sigara tu! hii nchi bana hamna ubunifu kabisa utasikia tu bia na vinywaji vikali vimepanda maradufu
 
:becky: ngoja jioni itatulia sio mnaropoka tu mnadhani bajeti ya nchi ndo ya chumbani kwenu
 
Back
Top Bottom