Eshacky nimekupata.
Kwa uelewa wangu maswali ya msingi huwa wanakuwa nayo kabla ila ya nyongeza yanatolewa hapo hapo. Sasa inategemea na nadhani kwa maelezo yako swali la Mdee may be lilikuwa nje ya swali la msingi.
Asante mkuu nimekupata
mkuu swali la nyongeza, huulizwa baada ya swali la msingi, na swal la nyongeza linapaswa liwe na mada moja ya lile swal la msingi, na kumbuka mawazir huwa wanajiandaa na haya maswal, sasa km mbunge akauliza swal ambalo si mada moja ya swal la msing, hvyo inakuwa ngumu kwa wazir husika kutoa majibu sahih kwa kuwa hajajianda. Ni hivyo kwa uelewa wangu.
Mheshiwa spika kaandikiwa ki memo"mhe. Una kengeza hutuoni" anasema ye anaona vizur ila waombaj wengi. Anataja wageni, mi sionagi umuhimu wa hawa wagen kula muda wa bunge.
maganga mweli we kwa kweli unaona hapo kuna kitu au ni bla bla maana bajeti yao karibu robo tatu ni posho na mishahara sasa hiyo robo kweli inatosha hayo yote kuhakikisha hata tunaondokana na janga la mgao wa umeme