Bunge kuwaka moto, Kambi Rasmi ya Upinzani Kufutwa?

Taarifa hii ya mtoa mada si kweli -- nimemuuliza jamaa yangu mmoja (mwandishi)wa habari aliyeko Dodoma na kusema ameona habari hii katika JF lakini si kweli kabisa.

Mtoa mada atoe source yake.

Wewe Mpuuzi kweli, yaani unataka sisi tuamini alicho kisema jamaa yako! Source niyeye mwenyewe
 
Makinda hujui tu tunavyokuchukia wananchi mana hapo umewekwa na mafisadi ili uwasaidie sasa usijidanganye kutupumbaza mana hapo ndio unaharibu zaidi, siku moja utalia waulize akina mbarak yanayowapata.
 
Mleta mada inaonyesha ni either mtumishi wa serikalini au anapata source ndani ya serikali kupitia mtu aliyopo serikali hasa bungeni.

Nakumbuka zamani watumishi wa umma walikuwa na maadili ya kutovujisha siri na ilikuwa aghalabu sana kukuta mtumishi wa umma anashabikia upinzani.

Zama zimebadilika sasa hivi watumishi wengi wa umma ndio wanaouza siri za serikali na wengi wanatetea sera ambazo ni kinyume na sera wanazopewa wasimamie na ndio maana tunaendela kucheza makidamakida!
 
hahahaaaa! daraja la 3 unahakikishiwa siti eti! ivi huyu naibu waziri alishapanda train daraja la 3 kweli?
 
hahahaaaa! daraja la 3 unahakikishiwa siti eti! ivi huyu naibu waziri alishapanda train daraja la 3 kweli?

Anavo ongea sasa,ndo afya au ugonjwa?
maana kama hana pumzi kabisa,mazoezi jamani ohoooo
 
Kamwe huwezi kuzuia maji kwa kuziba ukuta. Unaweza kufanikiwa kwa wakati huo lakini pressure ikiongozeka ukuta utabomoka tu. CCM inapaswa kutambua kuwa kutatua kero za wananchi ndilo sulurisho pekee. Hizi njia za kumanipulate ili iendelee kutawala zina mwisho wake na huenda mwisho huo ukawa mbaya.
 
Anavo ongea sasa,ndo afya au ugonjwa?
maana kama hana pumzi kabisa,mazoezi jamani ohoooo
we acha tu, halafu kufufua shirika wanatakiwa 63 bil at the same tym wanataka kuwalipa dowans 94 bil, kweli kazi ipo!
 
Nano colonialisim, political emperialism, black man agaist black man. what was the use of freedom? multiparty system is not a sin, it is just a check and balance system for the rulling system. Mmanupulation is another form of witchcraft, be careful with the ways of handling the parliament and remember that you can fool some people sometime but you can not fool all the people all the time. Cheo ni dhamana, leo upo wewe ndugu yangu, kesho atakuja mjukuu wa Idd Amin. Wekeni utaratibu mzuri kwa usalama wa taifa hili.

Tuache Nano Colonialism, black man agaist black man.

Speaker kwa hili tumia busara za mwenyezi Mungu. Na umuogope Mungu, kwani watanzania ni mali yake. Hakika mkicheza Mungu atawarudi.
 
Sasa anaongea Pinda.

Anagusia suala la kuundwa kwa tume ya kuangalia upya juu ya Katiba ya nchi.
 
si mnyika pekee........... Tumenyukwa wote na dowans, na tumefulia wote na epa, tumekapwa wote na richmond, tumekwetekwa wote na meremeta, tumesekwa wote na mafisadi, tumepindwa wote na kiwira, tumefanywa makinda wote na buzwagi, tumesitishwa wote na mikataba hatari, tumefungwa makamba wote na aliyeanzisha ishu ya udini, tumelowasika wote na kujilimbikizia mali, tumesisiemishwa wote kuuza loliondo, etc.................etc...............etc
mkuu umeniumiza na maneno yako! Hii nchi hii bwana sijui Vipi!?? kusema tuyaache yaende tuu haiwezekani bcs inauma saana!
 
Naam,

Umefika wakati wa pendekezo la kina Kafulila na Hamad Rashid kuondolewa neno RASMI katika kambi ya upinzani...

Twende kazi...
 
Spika alitoa maamuzi haya:

Lazima kamati ya bunge ya kanuni za bunge ikae ili kupitia mapendekezo yao.
 
Mleta mada inaonyesha ni either mtumishi wa serikalini au anapata source ndani ya serikali kupitia mtu aliyopo serikali hasa bungeni. Nakumbuka zamani watumishi wa umma walikuwa na maadili ya kutovujisha siri na ilikuwa aghalabu sana kukuta mtumishi wa umma anashabikia upinzani. Zama zimebadilika sasa hivi watumishi wengi wa umma ndio wanaouza siri za serikali na wengi wanatetea sera ambazo ni kinyume na sera wanazopewa wasimamie na ndio maana tunaendela kucheza makidamakida!

Mohamed unadhani ni nini kimeondoa ile hali ya kuwa waaminifu na wenye kutunza siri za serikali??
Je yawezekana wanatoa taarifa hizi kwa nia ya kujipatia kipato (haramu) cha ziada??
 
Katika utekelezaji wa maamuzi ya Spika, kamati iliundwa na kulifanyia kazi suala hili na jana jioni (7/Feb/2011) ilifanya kikao, Spika Makinda akiwa mjumbe na naibu wake, Lukuvi, Mbowe, Werema, Anna Abdallah, Akoonay, Lissu, Chenge etc wajumbe
 
Huwezi kujadili 'burning issues' bungeni huoni unakitafutia kifo chama tawala? alaa kumbe je
 
we acha tu, halafu kufufua shirika wanatakiwa 63 bil at the same tym wanataka kuwalipa dowans 94 bil, kweli kazi ipo!


63 Bil sio issue kubwa sana kama zitatumika ipasavyo kufufua mashirika ya umma, unajua Torres ameigharimu kiasi gani Chelsea? karibu mara mbili ya hizo pesa na huo ni mshahara wake na chenji inabaki kwa wiki!
 
mtu anauliza karakana wakati train zenyewe hazitembei

Duh..........................
378345_LMSAO_gifcc08743add65da1a3fab01ae874d7bfa
 
Back
Top Bottom