cjui lini tanganyika itapata uhuru halisi kutoka kwa mafisadi wamejiwekea kila sheria zakuwalinda ataikiwabana vp wameiwekea jinsi ya kuitolea ufafanuzi
Lakini hili nalo lina ubaya wake .....itawafanya hao cuf,nccr,tlp,udp wasifanye bidii zozote za kufikisha vyama vyao kwa wananchi kwa kutegmea kupendelewa na kanuni za bunge. Chama kama UDP miaka nenda rudi wenyewe wako Bariadi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.