Naona mnyika na kafulila wanainamisha vichwa chini baadaya ya Hoja zao kukwepuliwa
Kweli eh?
Naona umefurahi kweli lakini wanacho kisimamia kipo katika mawazo ya watanzania hakuna wa kukitoa
duh anne makinda linda heshima ya wanawake siku zote ni waaminifu usituharibie mama :clap2:
once a Traitor always Traitor!
Umeajiriwa kufanya hilo shame on you! Bunge ni chombo cha kuheshimiwa kwa nini wanaajiri wasaliti kama wewe? maadili ya utumishi yako wapi? je kila mtu akitoa taarifa za kazini kwake humu hii itakua forum ya great thinkers kweli? shame on you! najua kuna watu wa aina yako wataanza kuporomosha matusi ila to this is real immoral!
AKIZUNGUMZA NA ITV KATIBU WA BUNGE AMESEMA HAMNA HAJA YA HOJA YA KATIBA KWANI SERIKALI IMEANZA MCHAKATO WA KATIBA
NA KUHUSU DOWANS KASEMA SWALA HILO LIKO MAHAKAMANI NA BUNGE HALIWEZI KULIZUNGUMZIA
moto wa CCM umeanza
Wenzetu kenye wanaleta Hoja za kujenga fryover sisi hoja za majungu
Serikali imeishatoa tamko kuhusu katiba mpya
Siasa za tz bana yan hapo wanagombea izo kamati ili wapate ulaji,yan mpk sasa sijaona mwanasiasa yoyote aliye madarakani kwajili ya kutuondolea mattz yenu na kuleta maendeleo wote wazi na mafisadi tu,hao upinzani wanapiga kelele sbb hawapo ktk receving end ya izo pesa wakichukua nchi mambo yale yale tu
HAWANA UWEZO WA KUZUIA HOJA HIZO. Subiri bunge lianze.
Huyo katibu wa bunge analiamulia bunge lifanye nini?