Ndo tuone sasa kama vyombo vya habari vitagomea au la,huu ni ubakaji mkubwa wa habari,kwani vinanyimwa haki ya kufanya kazi yao ya kuripoti,hakutakuwa na uhuru wa habari,habari inakuwa na ladha zaidi inapokuwa live na si recorded
Mwanzoni tulizoe kutoangalia Bunge LIVE
Baadaye tukazoe kuangalia Bunge LIVE
Mwishowe tutazoe kutoangalia Bunge LIVE
tunatoka katika karne ya 21 kuelekea karne ya 20 sasa nadhani soon tutaianza karne ya 19 Mungu akijaalia no wonders but only in TZ.
Hii ni habari njema kwetu wenye magazeti. Tehe tehe tehe!
Manyerere
Ndo tuone sasa kama vyombo vya habari vitagomea au la,huu ni ubakaji mkubwa wa habari,kwani vinanyimwa haki ya kufanya kazi yao ya kuripoti,hakutakuwa na uhuru wa habari,habari inakuwa na ladha zaidi inapokuwa live na si recorded
Mkuu chintu nimecheka kidogo nife, yaani mitambo iwe inakatika anaposimama Lissu tu!! umeniacha hoi.Kuna haja ya wananchi kufikiri njia ya kuwaadabisha. wanaweza wakafunga kweli hawa au mitambo ikawa inakatika anaposimama Lissu.