beryl eddie
New Member
- Jan 6, 2013
- 2
- 0
wanaona aibu tu, wanavyodhalilika.
Umeona eeh hawana lolote
wanaona aibu tu, wanavyodhalilika.
mpigie spika anayo.
Tunatoka Analojia kwenda Dijitali kwa wale ambao hawatakuwa na Dijitali hawataona Bunge LIVE
Hahahaaa kweli watu wamelewa madaraka aisee. Only in TZ
Ni bora wasitishe tuu. So far sijaona faida ya kurusha vikao vya bunge live.
Ni bora wawe wanajifungia na kafuli kabisa huko mjengoni waendelee kufanya wanayoyafanya.
Kwa wabunge tulionao, it will not really make a difference; sana sana watatusadia kutopoteza muda wa kufuatilia majadiliano yasiyokuwa na tija.
Hii ni habari njema kwetu wenye magazeti. Tehe tehe tehe!
Manyerere