ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
Huu utakuwa ni kuKenge Ukiwa First Degree... Sisi wananchi tunaweza kuchambua pumba na mchele, only wenye kuongea pumba ndio wanao/watakao athirika kwa matangazo ya moja kwa moja (live). Watajitahidi sana kuficha mapungufu ya kiti cha spika na naibu wake Ila mwisho wa siku wata realise kuwa LAKUVUNDA siku zote HALINA MANUKATO/UBANI! CCM imeoza, CCM inaugua mkanda wa JESHI! hata wakivaa mavazi ya hariri uvundo utawaumbua tu...Sad! mapendekezo kama haya huwa yanaongeza hasira kwa Wananchi...