D
Deleted member 485868
Guest
Nasikiaga bundi ana ishara mbaya akilia
Asante mkuu woga ulikuwa unanisumbua tu bado napumuaWrite your reply...mkuu mega kuna Uzi uliwekwa hapa unaotoa elimu kisayansi juu ya Bundi kupiga kelele alafu mtu kufariki uutafute utakuondolea mashaka.
Nipo samama mkuu. Mapambano yanaendeleaAkijibu unitag nije kutiririka
Nipo salama mkuu. Nusu nikachukue RBunakaribia kupotezwa na wadiojulikana!!! punguza harakati!!!!
Bado mzima mkuu. Nilifunga na kuombaKAMA MWANACHAMA WA KILE CHAMA CHENYE WAGONJWA WA MUDA MREFU, ANZA KUMUOMBA MUNGU , MAANA MMOJA WAO "ATA REST IN PEACE" KARIBUNI
Hakuwa na madhara. Bado napumua mkuuHuo ni uchuro amini usiamini kaleta ujumbe.
Ushauri wako umesaidia, sijalala siku mbiliPiga maombi ya uhakika , kama ametumwa arudi kwa aliyemtuma
Mkuu upo Dar eeenh!?Jamani uoga ni asili ya binadamu. Utafiti unaonesha kila binadamu ambaye hajafa ni muoga.
Hapa kwangu yamenikuta, Kuna bundi kavamia, yupo juu ya mpapai analia kwa sauti kama vile anatumia kipaza sauti. Nimemuuliza jirani yangu kwa simu kama hampigii kelele ikiwezekana akamfukuze lakini hajanijibu, nahisi anaogopa. Nimejaribu kuwasiliana na mwenyekiti wa serikali ya mtaa amesema nipambane na hali yangu.
Kuna mwanajeshi anakaa mtaa wa pili kanishauri nimpotezee ikiwezekana niweke head phone ili nisimsikie. Naombeni ushauri
Ulimtambua huyo jamaa?mi alikuja kwenye paa la nyumba yangu, hiyo sauti yake usiku utadhani jini. Nilitoka nje nikachungulia kwenye paa nakutana na jamaa ananitumbulia macho, nilimtandika jiwe moja hajarudi tena
Profile picha na jina lako vinaongea. Ila nipo napumua badoNi ndege wa kawaida tu. Ila ukiwazacho ndicho utakipata. Mie hata kucheza nao huwa naenjoy.
Wanaume wa mkoani ndio waliokuja na maneno ya kukatisha tamaaMwanaume wa dar
Ujumbe nimeupata na nimeusoma ni wa kawaida tu.Huo ni uchuro amini usiamini kaleta ujumbe.
AmenKemea kwa Nina LA YESU