Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hivi Bukoba kuna hata supermarket?
 
Tuachane na kodi tuje ktk walimbwende WENYE wa kaskazini na MAENDELEO kwa uchache:

Shose sinare
Nancy Sumari
Theresa Shayo
Shose Sinare
Hoyce Temu -dada wa shoka
 
inabidi pia uangalie na utamaduni wa eneo husika. kule hawana utamadunu wa kula kwenye mabarabara. watu wanapenda zaidi kula chakula kilichoandaliwa nyumbani. ni aibu mtu kula kwa hotel. kwa hiyo biashara ya hotel kwa ujumla kule si nzuri

Afadhali umenena Ukweli ,nimekaa pale town one week Na ndo nlipojifunzia kula chips,huku chini miembeni kuna sehemu inaitwa coffee karibia Na bukoba club ,it's the only expensive place to sleep Na pa kula ingawa vya kula navyo Adimu Sana
 
Hizo tuhuma hata nyie mnazo.. Tena mpaka nyie kwa nyie... Mnabaguana.
 
Huu ni UDHARIRISHAJI ,
Moshi mjini ni mji wa 3 AFRICA kwa usafi ,
Pia unavutia , Unaifukuzia ARUSHA kimiundo mbinu, huwezi kufananisha na BUKOBA,
Ni sawa na kumfananisha MOND na MAN FONGO.
 
Tuachane na kodi tuje ktk walimbwende WENYE wa kaskazini na MAENDELEO kwa uchache:

Shose sinare
Nancy Sumari
Theresa Shayo
Shose Sinare
Hoyce Temu -dada wa shoka
Walimbwende cheki Wa bk Angela kairuki,malaika,lulu Michael,madam Rita,
 
Hawezi kujibu, ukiwa unapingana na facts ni sawa na mtu anayepigana na ukuta ataumia tu
Dogo ana bahati this time of the year hatuna muda wa mabishano tunakula mbege tu..

Ila tumempa homework ndogo tu ya TRA amebaki kuhahahaha na vipicha uchwara
 
Niambie jengu hambalo limewekwa picha na halipo moshi

Inabidi uwe umefika Moshi na Bukoba ndio uweze kuchangia.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…