Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Wewe kwenu Songea Luna nini cha Maana. Fungua uzi wa kulinganisha songea na Lindi mjini
Huu ndo ujinga wajinga kama wewe mnaofanya baada ya kupewa ukweli. Nimetaja Songea tayari unajaji Songea ni kwetu. Kwetu ni Nzega karibu sana
 
Kuna watu wanaanzisha ila mtu wa Moshi hawezi kuanzisha uzi kuponda eti Bukoba, Bukoba kuna watu wa Moshi wengi, mtu wa Moshi anajua Bukoba ikiendelea ni faida kwakwe au kwa mtanzania yoyote kwa kuwa anaishi mji wowote
 
Wekeni na majengo ya MOSHI TOWN JAMANI, ILA BUKOBA ni mji wa zamani, majengo ya kizamani sana, MOSHI NI MASHINE, mji uliopangwa VYEMA SANA, MAGOROFA MENGI MNO, BONGE LA MJI, MIMI HUWA NINA KESI MOSHI
 
Nje ya majiji yetu,manispaa Za hadhi ni Moshi na Dodoma na ndio ziko kwenye Mipango zifanywe Majiji...
Yaani izo picha unazotuma na kuziita hotel unasikitisha sana kijana, izo ni simpe lodge tu na wala hakuna hotel apo!!

Kagera ni moja I mikoa duni Tz masikini kibao, eat that
 
Ukifuatilia hii thread utaona Bk people kama wamekomaa sana, watu wa KLM wako na Christmas Exodus to the land of made of the most inner part of earth, The Volcanic ashes!.
Kiufupi Moshi pako juu hata watumishi wa uma (wahaya) wanapoandika miji na hadhi zake hawaachi kuitanguliza Moshi kabla ya Bukoba!
 
Moshi kuna shule nyingi za sekondari kuliko wilaya yoyote tz
Moshi kuna hospital mingi kuliko kagera nzima
Kcmc pekee imemaliza
Vyuo vikuu vilivyopo Moshi Kagera nzima Hamna
Mnajenga bus stand Leo? Hamuwez kua mpo serious ata kidogo. ...
Hotel bk mnaonyesha nyumba zakulala (lodge)mnaziita hotel?acheni utani jaman
 
At least Asee kale kastand ndo chanzo cha vumbi mjini pia halmashauri inashindwa kujenga b arabara za viwango mtaani wanamwaga tumoramu afu vibarabara vidogo kama voliongolelo wanatuangusha sana
Mkuu stendi walishafika hapa Leo jpili sehemu ilishapanuliwa ili kuweka lami baada Christmas
 
Kwa mlingano wachaga wako vizur sana kwan wao ndio wajenz wa miji mingi zaid tz kwa sasa kwani hawa hata kwao hawapo wamesambaa nchi nzima wakisaka hela hivyo hata bk kiasi flan imejengwa na wachaga aoao so waheshimuni sana hawa watu
Bk wahaya wengi tu kwanza bk ni full kihaya tu .bk siku hizi hata wa mikoani wameanza kurudi ndo maana bk unakua kwa kasi sana
 
Nyie mnaanzisha nyuzi nyingi mkiiponda bk kwa uongo,chuki na majungu ndo maana yamewatokea wahaya
 
Kuna watu wanaanzisha ila mtu wa Moshi hawezi kuanzisha uzi kuponda eti Bukoba, Bukoba kuna watu wa Moshi wengi, mtu wa Moshi anajua Bukoba ikiendelea ni faida kwakwe au kwa mtanzania yoyote kwa kuwa anaishi mji wowote
Hebu fuatilia nyuzi nyingi.zimeanzishwa ili kuiponda bk hebu search bukoba, wahaya utaona ukweli ndo maana tumeamua kuwaumbua
 
Wekeni na majengo ya MOSHI TOWN JAMANI, ILA BUKOBA ni mji wa zamani, majengo ya kizamani sana, MOSHI NI MASHINE, mji uliopangwa VYEMA SANA, MAGOROFA MENGI MNO, BONGE LA MJI, MIMI HUWA NINA KESI MOSHI
Majengo uliyoyaona ni ya kizamani? Porojo nyingi bila facts
 
Hata kwenye kanga yapo kijana .sikushangai
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…