chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,297
- 45,087
Kubalini tuu mshapigwa 3 bilaaa kwani dar hakuna wahaya?? watu wanatoka nje ya mkoa kutafuta alafu maendeleo yanarudi home huwezi fananisha moshi na bukoba amabayo hata lami ni tatizo we leo fika moshi nenda kibosho lami tupu uru lami tupu huko machame lami tupu mwika marangu lami tuu majengo yanashushwaje huko hahaha dar tumekuja kutafuta moshi kilimanjaro home sweet home...
ndio maana mnaambiwa kabla hujaropoka hapa nenda kwanza moshi sio unaletewa hata picha unaanza lia lia ooh za nai lol mbona za australia tunaeza leta na usikatae??
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Uchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.Mimi sio mwenyeji wa mikoa yote miwili, ila nimeishi katika miji yote miwili kwa muda tu wa kutosha mjini na vijijini. Moshi ni mji mzuri na mkubwa kulinganisha na Bukoba. Hata idadi ya watu Bukoba inazidiwa na Moshi na sababu kubwa ni upande wa usafiri, hakuna ruti zozote za daladala katika mji wa Bukoba. Kila unapokwenda lazima upande Bodaboda labda kama unaenda wilayani.
Bukoba mzunguko wa hela ni mdogo sana kulinganisha na Moshi.
Kwa upande wa miundombinu Moshi wapo juu sana.
Kwa mandhari, Bukoba yaweza kuvutia kwa sababu ya Ziwa na vilima kuwa vingi.
Kuna mdau alielezea kuhusu majengo mazuri yapo zaidi katika wilaya za Kagera kuliko Bukoba mjini. Kama huamini hivyo nenda Karagwe(Kayanga mji) na eneo la Bunazi (Missenyi) watu wanapajenga sana.
Kwa mpangilio wa mji bado Moshi inaizidi Bukoba.
Moshi ni mji mdogo kwa eneo lakini ni mzuri na msafi.
Hata kwa idadi ya vyuo vikuu vyenye kuheshimika vipo Moshi;KCMCo,Mwenge,Ushirika nk.
Kwenye kila kitu, mpaka akili na ndio maana Maxence Melo Mubyazi ni Muhaya kawawekea Jamii Forum platform hili muongee kila kitu hata hivi vya uwongoBukoba imeiacha mbali Moshi kwenye kipi kuwa specifically kwamba kwa namna nilivyokaa au kutembea Bukoba na Moshi, Moshi au Bukoba imeiacha mbali mwenzake katika abcd hapo unaonekana unachoongea kina mantiki
Kwenye kila kitu, mpaka akili na ndio maana Maxence Melo Mubyazi ni Muhaya kawawekea Jamii Forum platform hili muongee kila kitu hata hivi vya uwongo
Well mdau yaani hawa jamaa wanaifananisha Moshi na Bukoba ? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya FiraoniUchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.
Wakazi wengi wa Manispaa wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo, kilimo na ufugaji maeneo ya pembezoni mwa mji. Wachache wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za serikali na za binafsi. Kila mkazi anakisiwa kuwa na pato la wastani wa Dola za Kimarekeni 950 kwa mwaka.
Katika miaka kumi (10) ijayo kuanzia mwaka 2015 -2025 Manispaa ya Moshi iwe jiji litakaloendeshwa kwa misingi ya utawala bora.
- Mwelekeo wa Halmashauri
##
KILIMANJARO REGION.
The region covers an area of 13,209 sq. km. or 1.4% of the area of the entire Tanzania Mainland. Administratively, the Region is divided into six districts namely Moshi, Rombo, Mwanga, Same, Hai, and Siha with seven Local Government Authorities. The Region has a total of 30 divisions, 153 wards and 472 villages.
Total population (2002 Census) 1,376,702
Population Density (2002 Census) 104 per sq. km.
Population growth rate (2002 Census) 1.6 %
Urban population (2002 Census) 21 %
Rural population (2002 Census) 79 %
Total population (Est. 2010) 1,635,870
Males (Est. 2010) 797,764
Females (Est. 2010) 838,106
Regional GDP (Yr 2010) Tshs. 1,438,637 mill
Per Capita Income (Yr 2010) Tshs. 945,437/=
Education: Literacy rate: 95% (2010). There are 933 primary schools (887 Government, 46 Private); 313 secondary schools (215 Government, 98 Private), seven Teachers Training Colleges (three Government, four Private), 77 Vocational Training Centres (six Government, 71 Private) and five University Colleges (one public, four private).
Health Facilities: 19 Hospitals including two referral hospitals KCMC and Kibong’oto Hospitals; (six Government, 13 Private), 36 Health Centres (22 Government, 14 Private) and 341 Dispensaries (152 Government , 189 Private).
Water: Population served with clean and safe water is 72% (2010)
Roads: The region has a good road network linking it with its neighbouring regions of Tanga and Arusha and to the Republic of Kenya which gives it an access within and outside the country. In total, it has 3646.07 kilometres of roads out of which 443.8 kilometres are tarmac.
Ngoja waje waseme hapo ni miamYaani nimekuchapa bakora za vijijini mpaka umepabadili bukoba mjini saivi unapaita vijijini.???
Moshi ni jiji la kitalii unalinganisha na mji Wa kilimo na ufugaji Kwanza bukoba inachangia kipi kikuu katika pato la taifa? Bukoba ni ya ngapi kwa ukusanyaji wa mapato? Development index ya bukoba ipo vipi ukilinganisha na Moshi? Sababu sio tunabishana tu kizumbukuku wakati ukweli wote upo plain na nikikuletea hapa utaaibika na ngoja nzileta statistics zote
Kaka picha ya mwisho hiyo ni Hot spring chemka sio...
Catholic diocese of Moshi Mwenge retreat center
Kumbu kumbu ya vita vya kageramahandaki yaliyotumiwa Mnara Wa ukumbusho kanisa lililolipuliwa na IDD amin imebaki kivutio daraja la MTO kagera sanamu ya mayunga uwanja Wa vita daraja la MTO kagera daraja la NNE tz
Well mdau yaani hawa jamaa wanaifananisha Moshi na Bukoba ? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni
Uchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.
Wakazi wengi wa Manispaa wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo, kilimo na ufugaji maeneo ya pembezoni mwa mji. Wachache wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za serikali na za binafsi. Kila mkazi anakisiwa kuwa na pato la wastani wa Dola za Kimarekeni 950 kwa mwaka.
Katika miaka kumi (10) ijayo kuanzia mwaka 2015 -2025 Manispaa ya Moshi iwe jiji litakaloendeshwa kwa misingi ya utawala bora.
- Mwelekeo wa Halmashauri
##
KILIMANJARO REGION.
The region covers an area of 13,209 sq. km. or 1.4% of the area of the entire Tanzania Mainland. Administratively, the Region is divided into six districts namely Moshi, Rombo, Mwanga, Same, Hai, and Siha with seven Local Government Authorities. The Region has a total of 30 divisions, 153 wards and 472 villages.
Total population (2002 Census) 1,376,702
Population Density (2002 Census) 104 per sq. km.
Population growth rate (2002 Census) 1.6 %
Urban population (2002 Census) 21 %
Rural population (2002 Census) 79 %
Total population (Est. 2010) 1,635,870
Males (Est. 2010) 797,764
Females (Est. 2010) 838,106
Regional GDP (Yr 2010) Tshs. 1,438,637 mill
Per Capita Income (Yr 2010) Tshs. 945,437/=
Education: Literacy rate: 95% (2010). There are 933 primary schools (887 Government, 46 Private); 313 secondary schools (215 Government, 98 Private), seven Teachers Training Colleges (three Government, four Private), 77 Vocational Training Centres (six Government, 71 Private) and five University Colleges (one public, four private).
Health Facilities: 19 Hospitals including two referral hospitals KCMC and Kibong’oto Hospitals; (six Government, 13 Private), 36 Health Centres (22 Government, 14 Private) and 341 Dispensaries (152 Government , 189 Private).
Water: Population served with clean and safe water is 72% (2010)
Roads: The region has a good road network linking it with its neighbouring regions of Tanga and Arusha and to the Republic of Kenya which gives it an access within and outside the country. In total, it has 3646.07 kilometres of roads out of which 443.8 kilometres are tarmac.
Ngoja waje waseme hapo ni miam
Duu wambie kuna picha nyingi sana hujaweka humo wangesema uswis kabisa hawa jamaa ni sooKuna mmoja ameniambia hizo picha ni za Brussels Belgium
IPO muleba barabara ya biharamulo unakaribisha uje uione unapinga bila kufanya utafiti nyegezi wapi? Unafikiri bukoba ni mji mdogo et kwanza uwezi ona umaarufu ulio naoHii Lodge ipo o Mwanza Nyegezi
Lini umeihamishia bukoba?? Hahahahaa
Mm baasha building iko wapi kati ya hizi picha bukoba ni level nyingine cheki hii tenaHizo pictures 90% sio bukoba hapo zipo za Arusha hiyo New Arusha hotel lini imehamishiwa bukoba na mBasha building lini limehamia bukoba??? Hahahahaa pole lakini ndio hivyo aliekuacha kakuacha tu.
That's walkguard hotel IPO kashura barabara ya maruku mlimani